Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Album ya Msanii wa Muziki wa Injili Christina Shusho Aprili 9, 2023 katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Diamond Platnumz.