Uzi wa Tresor Mandala wa "U hali gani?" umethibitisha kuwepo kwa "Time Travelling"

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,701
9,779
Habari wana MMU. Niko mbele yenu kuzungumza jambo, walio nyuma yangu ni wana Jamii Intelligence. Kwa unyenyekevu naomba kuzungumza kitu

Uzi ulikuwa hosted on 11th Dec. 2011, hakuna hata kiumbe mmoja aliyereply. Uzi ulikuwa ni wa mahubbat kwenda kwa aliyekuwa mrembo wa JF wa kipindi hicho

Ni miaka 13 sasa imepita. Kwa mara ya kwanza, uzi unakuwa replied na Gily Gru siku ya 26 /02/2024.

Hii inaonesha ni kwa kiasi gani dunia ya kipindi hicho haikubezi sana kwenye uchakataji mbususu. Ni vile tu akili ya mtoa mada ama mtoa mada mwenyewe alitime travel kutoka dunia ya sasa kwenda dunia ya 2011 ambako kulikuwa na wimbi la watu waliobezi kwenye siasa na hoja mchanganyiko

Hata hivyo, hii inaonesha kuwa nyuzi zetu zitaendelea kuishi kwa ajili ya faida ya kizazi kijacho ilihali tu Jamiiforums ipo

Kuna uzi wangu una miaka miwili sasa hauna any reply. Ni kwa vile tu umebeba mapenzi ya kitofauti kidogo na style za kielektroniki za mapenzi ambazo wanadamu wa sasa hamuwezi kuzidadavua. Nasubiri miaka 60 baadae uzi wangu uanze kupata more replies

Naombeni mumuite Tresa Mandala aje hapa atuelezee utofauti wa Jamiiforums ile na Jamiiforums ya sasa. Enzi zile nilikuwa hata sijajua papuchi inafanana vipi

Uzi wake ni huu hapa ...Uhali gani ...
 
Habari wana MMU. Niko mbele yenu kuzungumza jambo, walio nyuma yangu ni wana Jamii Intelligence. Kwa unyenyekevu naomba kuzungumza kitu

Uzi ulikuwa hosted on 11th Dec. 2011, hakuna hata kiumbe mmoja aliyereply. Uzi ulikuwa ni wa mahubbat kwenda kwa aliyekuwa mrembo wa JF wa kipindi hicho

Ni miaka 13 sasa imepita. Kwa mara ya kwanza, uzi unakuwa replied na Gily Gru siku ya 26 /02/2024.

Hii inaonesha ni kwa kiasi gani dunia ya kipindi hicho haikubezi sana kwenye uchakataji mbususu. Ni vile tu akili ya mtoa mada ama mtoa mada mwenyewe alitime travel kutoka dunia ya sasa kwenda dunia ya 2011 ambako kulikuwa na wimbi la watu waliobezi kwenye siasa na hoja mchanganyiko

Hata hivyo, hii inaonesha kuwa nyuzi zetu zitaendelea kuishi kwa ajili ya faida ya kizazi kijacho ilihali tu Jamiiforums ipo

Kuna uzi wangu una miaka miwili sasa hauna any reply. Ni kwa vile tu umebeba mapenzi ya kitofauti kidogo na style za kielektroniki za mapenzi ambazo wanadamu wa sasa hamuwezi kuzidadavua. Nasubiri miaka 60 baadae uzi wangu uanze kupata more replies

Naombeni mumuite Tresa Mandala aje hapa atuelezee utofauti wa Jamiiforums ile na Jamiiforums ya sasa. Enzi zile nilikuwa hata sijajua papuchi inafanana vipi

Uzi wake ni huu hapa ...Uhali gani ...
fasihi andishi hudumu na kuishi maisha marefu sana na uhifadhi wake huwa ni kwa maandishi, ukilinganisha na fasihi simulizi ambazo hubadilika badilika na muhifadhi wake ni msimuliaji pekee 🐒
 
fasihi andishi hudumu na kuishi maisha marefu sana na uhifadhi wake huwa ni kwa maandishi, ukilinganisha na fasihi simulizi ambazo hubadilika badilika na muhifadhi wake ni msimuliaji pekee
Nowdays kuna simulizi ambazo husimuliwa na kuwekwa mitandaoni. Mfano, unakuta simulizi ya Mama ake Mama huko YouTube ya George Mwasenya

Hiyo tunaiweka kwenye aina ipi ya fasihi?
Kama ni fasihi simulizi, mbona inabaki na uhalisia wake pasi na kubadilika?
 
Nowdays kuna simulizi ambazo husimuliwa na kuwekwa mitandaoni. Mfano, unakuta simulizi ya Mama ake Mama huko YouTube ya George Mwasenya

Hiyo tunaiweka kwenye aina ipi ya fasihi?
Kama ni fasihi simulizi, mbona inabaki na uhalisia wake pasi na kubadilika?
hiyo inabaki ni fasihi simulizi lakini iliyonakiliwa na kuhifadhiwa kutokana na maendeleo ya sayansi na technoligia...

Hata hivyo simulizi za kuhifadhiwa hukosa msisimuko ukilinganisha na uhalisia wa msimuliaji mwenye 🐒
 
Back
Top Bottom