Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,013
- 156,442
Hii ndio timu pekee inayoshiriki ligivkuu kutoka mkoani Kigoma.
Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu ya soka ya Mbeya City Fc kwenye mechi zote mbili.
Mpaka sasa Mashujaa FC IMECHEZA mechi tatu, imeshinda mbili na imetoa sare moja.
Imekalia usukani
Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu ya soka ya Mbeya City Fc kwenye mechi zote mbili.
Mpaka sasa Mashujaa FC IMECHEZA mechi tatu, imeshinda mbili na imetoa sare moja.
Imekalia usukani