Uzi maalumu kwa wanaosubiria ajira za afya ngazi ya jamii

rutajwah

Member
Nov 17, 2022
90
91
Habari wanajf,

Husika na kichwa cha habari hapo juu.

Serikali ya Rais Samia suluhu imedhamiria kuajiri wahudumu wa afya ngazi ya jamii 28000 mikoa yote Tanzania bara kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Na watakaochaguliwa watapata fursa ya kuhudhuria mafunzo ya miezi sita ambayo yanagharamiwa na serikali. Hivo hyo itakuwa fursa kwa vijana wengi ambao hawana ajira

source

View: https://www.youtube.com/watch?v=oRPzF0iZnP8&pp=ygUfd2FodWR1bXUgd2EgYWZ5YSBuZ2F6aSB5YSBqYW1paQ%3D%3D


View: https://www.youtube.com/watch?v=WgLkFboAdpE&pp=ygUfd2FodWR1bXUgd2EgYWZ5YSBuZ2F6aSB5YSBqYW1paQ%3D%3D


View: https://www.youtube.com/watch?v=BSmYNX_PXhQ&pp=ygUfd2FodWR1bXUgd2EgYWZ5YSBuZ2F6aSB5YSBqYW1paQ%3D%3D

So nimeanzisha uzi huu kwa ajili ya kupeana updates kwa wanaosubiria hizo nafasi kwani tetesi ni kwamba mafunzo yanaaza February.

Kwa yeyote mwenye updates awe anatupia hapa ili ku make sure that nobody is left behind

Thanks in advance.
 
28,000 ni wengi Kwa kutoa huduma Lakini Kwa Tanzania ni wachache sana kupunguza majobless.

Kipaumbele
_wenye taaluma za afya
_wahudumu waliopo Kwa Sasa
_ elimu fom fooo, uwe na cheti sio livingi.

Kwa halmshauri 184, tutarajie halmshauri Yako mpate 28,000 ÷ 184= 152...

Hao 152 Hawa Kwa kata, tuchuulie mlele Wana kata 14.

152÷14= 11 Kila kata. Je shule ya kata hapo Kijijini kwako hutoa foo na three ngapi Kwa mwaka wanaotaka kuzigombania hizi?

Bado safari ni ndefu.

Vijana tuwazeni sana kujiajiri, hali ni Tete.
 
28,000 ni wengi Kwa kutoa huduma Lakini Kwa Tanzania ni wachache sana kupunguza majobless.

Kipaumbele
_wenye taaluma za afya
_wahudumu waliopo Kwa Sasa
_ elimu fom fooo, uwe na cheti sio livingi.

Kwa halmshauri 184, tutarajie halmshauri Yako mpate 28,000 ÷ 184= 152...

Hao 152 Hawa Kwa kata, tuchuulie mlele Wana kata 14.

152÷14= 11 Kila kata. Je shule ya kata hapo Kijijini kwako hutoa foo na three ngapi Kwa mwaka wanaotaka kuzigombania hizi?

Bado safari ni ndefu.

Vijana tuwazeni sana kujiajiri, hali ni Tete.
Kwa vjijini wanaomaliza form four huwa hawapendi kukaa so wengi huwa wanakimbilia mijini.

Wenye taaluma ya afya huwa wanatafuta ajira za mjini so ukimwambia kuna kazi za kijijini huwa hawaziombi

Wahudumu wa afya waliopo kwa sasa wengi ni darasa la saba kwa vijijini. na wengi ni above 45 hivo hawaajiriki

Waliomaliza form four lazima uwe na pass ya Biology na pass nyingine tatu jumla nne.... Na kama mtu ana pass tayari na wazazi wake wako vizuri huwa wanaenda Form five au college za Nacte.

That means kama kuna mtu anagrade nzuri za form four kupita wote na alikuwa hana mchongo wowote basi yuko likely kupata...
 
Kwa vjijini wanaomaliza form four huwa hawapendi kukaa so wengi huwa wanakimbilia mijini.

Wenye taaluma ya afya huwa wanatafuta ajira za mjini so ukimwambia kuna kazi za kijijini huwa hawaziombi

Wahudumu wa afya waliopo kwa sasa wengi ni darasa la saba kwa vijijini. na wengi ni above 45 hivo hawaajiriki

Waliomaliza form four lazima uwe na pass ya Biology na pass nyingine tatu jumla nne.... Na kama mtu ana pass tayari na wazazi wake wako vizuri huwa wanaenda Form five au college za Nacte.

That means kama kuna mtu anagrade nzuri za form four kupita wote na alikuwa hana mchongo wowote basi yuko likely kupata...
Nice criticism and assumptions
 
Back
Top Bottom