myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,925
- 657,264
Itakuwa mimi wakati niko mdogo🤣Historia ya kidunia mpaka sasa haijulikani ni nani ambae aliipa jina sayari ya Dunia jina la "Dunia"
Itakuwa mimi wakati niko mdogo🤣Historia ya kidunia mpaka sasa haijulikani ni nani ambae aliipa jina sayari ya Dunia jina la "Dunia"
RIP..R.I.P JPM
Kwa nini..Sauti unayoisikia unapoongea, sio wanayoisikia wasikilizaji.
AiseeKatika muda wowote ule, 67% ya dunia imefunikwa na mawingu. Pia ni 10% tu ya bahari ndiyo haijafunikwa na mawingu. (LiveScience)
🤣🤣Ngamia jike ni kiumbe ambaye kwa mapozi na malingo amebobea,
Aisee 🤣 🤣Uwezekano wa wewe kuwa mtu maarufu duniani ni 0.0086%.
Nawe pia..Muwe na Wikiend njema
Duh!!!...Kuna zaidi ya njia 169,518,829,100,544,000,000,000,000,000 za kucheza mijongeo (moves) 10 za mwanzo katika Chess'
Sawasawa..Sex tourism: (Utalii wa ngono) ni aina ya utalii ambapo watu husafiri kwenda sehemu fulani kwa lengo la kupata huduma ya ngono. Wanaume na wanawake wote hufanya hivyo. Maeneo ambayo wanaume hupenda kwenda kufanya utalii huo ni Asia (Thailand, Ufilipino n.k), Amerika ya Kati na Kusini pamoja na Afrika. Wanawake hupendelea zaidi nchi za kiafrika. Gambia ni maarufu zaidi kwa wanawake kutoka Ulaya ambapo hutembelea kufanya utalii huo. Kwa Afrika mashariki, Kenya inatajwa kuongoza. (Mirror, Vice, Wikipedia)
Kweli..Titanic (1997) ilikuwa ndiyo filamu ya kwanza kufikisha mauzo ya $1 Bilioni, Ya pili ilikuwa ni Avatar (2009) zote zikiandikwa na kuongozwa na James Cameron
Je unashida na pump za Maji zinazotumia Solar?Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
Je unashida na pump za Maji zinazotumia Solar?Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.