Elections 2010 Uzembe wa mawakala kuwaponza wapinzani

Mkuu hata vituo vya mlimani primary school, hawakuwepo hadi mida ya mbili kasoro.. checkini pia, ila nilifurhaishwa kuona wanachuo weeeengi wamerudi kuja kutimiza haki yao ya kikatiba, pamoja na hujuma za kutofungua chuo!

Hii ni mbaya sana na inatiauchungu mno!!!
Je inaruhusiwa kuanza kupiga kura kabla ya mawakala kuwepo?
Miafrika mingine !!!! Vituo vinafunguliwa saa 12 asubuhi, eti jitu linakuja saa mbili ....!!!!!!!!
 
Naomba basi mtumieni Jabulani katika inbox yake yaani kumtumia kwa PM haraka sana! Hata mkinitumia wakuu naweza kuwasadia kiasi fulani . Asanteni
 
Hivi msimamizi wa kituo ana uwezo wa kuanzisha zoezi la kupiga kura bila ya kuwepo mawakala?
 
Naomba basi mtumieni Jabulani katika inbox yake yaani kumtumia kwa PM haraka sana! Hata mkinitumia wakuu naweza kuwasadia kiasi fulani . Asanteni

Jabulani na Susuviri mna akili sana nyinyi nawashukuru sana kwa wazo lenu. Kama kuna yeyote ambaye anajua kituo cha kupigia kura ambacho hakuna wakala wa chadema atume jina la kituo na mahali kilipo ili hawa ndugu wawili waweke rekodi inayoeleweka ambayo tunaweza kuifuatilia baadaye. Mungu awajalie sana.
 
Ni kweli, watatuma wachakachuaji, hakuna kuweka orodha. Au tuweke orodha ya uongo????

Nashauri meneja wa Kampeni wa Chadema na timu yake kuweka mawasiliano ya dharura humu iliwapate kufahamishwa kinachoendela kwenye baadhi ya vituo ili kama wana standby task force iwezekufuatilia matukio/mapungufu kama hayo.
 
Ni kweli ukituma humu siri inakuwa imetoka na CCM watavishughulikia vituo vyote visivyo na wakala wa CHADEMA.

Fanyeni kama mimi ambaye nimetuma taarifa hiyo kwenye simu ya John Mnyika (0754-694553).

Na kwa wazo hilo ni heri namba za simu za wana-CHADEMA tunaodhani watashughulikia ndiyo zianikwe hapa ili Mnyika agawane wingi wa message na CHADEMA waone kweli tuko serious na hatutawasamehe wakicheza na hili.
 
Kwa wale wanaohitaji kuongea moja kwa moja na watu wa Chadema wa simu wanaweza kumpigia:
Bwana Mbogo wa Makao Makuu
0683 179001
0714 776673
Asanteni
 
Ni kweli ukituma humu siri inakuwa imetoka na CCM watavishughulikia vituo vyote visivyo na wakala wa CHADEMA.

Fanyeni kama mimi ambaye nimetuma taarifa hiyo kwenye simu ya John Mnyika.

Muulize Myika yeye anajua vitu vyote ambavyo CHADEMA hawakuweka wasimamizi?? au na yeye hana taarifa??

Ndo taabu ya kupokea makapi mapya kwenye chama bila kuchuja. Wengine waliingia kukidhuru chama.

CHADEMA tutajuta kwa hili
 
Jabulani na Susuviri mna akili sana nyinyi nawashukuru sana kwa wazo lenu. Kama kuna yeyote ambaye anajua kituo cha kupigia kura ambacho hakuna wakala wa chadema atume jina la kituo na mahali kilipo ili hawa ndugu wawili waweke rekodi inayoeleweka ambayo tunaweza kuifuatilia baadaye. Mungu awajalie sana.

Tatizo linaweza kuwa iko palepale .Baadhi ya wana member watawajuaje hawa mabwana kama ni right people working for Chadema??????
 
Kwa wale wanaohitaji kuongea moja kwa moja na watu wa Chadema wa simu wanaweza kumpigia:
Bwana Mbogo wa Makao Makuu
0683 179001
0714 776673
Asanteni

Atakayepiga awaulize swali la kwanza - je, waliweka wasimamizi kwenye vituo vyote? kama jibu ni HAPANA, then huna sababu ya kupoteza muda wako. Inakera sana
 
Nilijua hili litatokea tu . Kushindwa kusimika wagombea ubunge (hata uchwara) kwa kila jimbo ilikuwa dalili ya kwanza.
Nilikuwa wa kwanza kituoni hapo na walipoitwa na msimazi wa kituo wakajitambulisha nilikuwepo na nilisikia mazungumzo yao
 
Tume ya uchaguzi haikatazi kuweka wakala lakini pia kama wakala hayupo upigaji kura utaendelea kama kawaida, vituo vingi havina mawakala wa upinzani na hata vile vyenye nao wanaweza kuchakachuliwa pia, tunaitaji electronic polling stations kuachana na swala la wizi wa kura otherwise wizi utaendelea kuwepo kama upo!
 
Nimefika Mapambano A Sinza, kuna tatizo la upungufu wa wasimamizi waelekezaji wa wapiga kura.

Walibandika huko siku za nyuma list ya wapiga kura, leo wametoa pale yalipokuwa na kuyahamishia kwenye madarasa mbali mbali, lakini hakuna mtu wa kuelekeza wapiga kura hili jambo, hivyo watu wanafika na kusumbuka kutafuta majina yao, na wengine kukata tamaa, nimefanikiwa kujaribu kuelekeza watu kama kumi hivi, lakini sioni msimamizi wa kituo, askari na hao wasimamizi wa tume hawana usaidizi wowote wamekaa, kwa sasa watu ni wachache sijui itakuwaje pale kutakapokuwa na watu wengi.

Kama kuna mtu anamjua mtu wa tume anayeweza kusaidia hili ataarifiwe.
 
hata wakikuwepo mawakala,matokeo tayari yapo yashaandikwa kabla ya kifo cha mwalimu nyerere.
unadhali hao mawakala watafanya nini,wanauwezo kuliko ccm,akiwa analipwa 200,000 ccm ishampa 1,000,000.
ccm wanasema kura ya kikwete peke yake inatosha kumuweka madarakani!!!!!!
 
Back
Top Bottom