ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,849
Mwenezi wa CCM Paul Makonda ameendelea kukiwasha huko Katavi akisema ccm haitavumia Wala kukubaki uzembe wa viongozi au Watendaji wa Serikali ambao hawatimizi wajibu wao na kwamba hawako tayari kuona Mwenyekiti wao anaomba kura 2025 Kwa kupiga Magoti.
Kazi inaendelea na Chadema wamepoteana kutafuta kiki Mpya maana Makonda ndio habari ya Mjini na Wananchi wamekubali shoo.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C29NuAxshJ2/?igsh=djRuenV3bGpvMHJr
Kazi inaendelea na Chadema wamepoteana kutafuta kiki Mpya maana Makonda ndio habari ya Mjini na Wananchi wamekubali shoo.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C29NuAxshJ2/?igsh=djRuenV3bGpvMHJr