jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
hapana ndugu yangu, fanya utafiti kwanza kwa ulisemalo hapa JF.Mtoto wa nyerere rubani anaitwa Endrea/enduru yupo ni mzima mpaka sasa hakufa anaishi hapa dar es salaam.Makongoro ni mtalaam wa kutengua mabomu na mengineyo ni askari mzuri pia, John naye alikuwa askari alistaafu.hao ndiyo wanae mwalimu maaskari.hakuna aliyekufa usipotoshe umma.
Salute mkuu!!
ila ni kweli zilimnyeshea za masika huyu iddi amini