Nisilolifahamu vizuri ni baadhi ya watoto wa Mwalimu kuonekana kama wagonjwa wa akili vile na chapombe kwa sana kama huyu Makongoro na Rosemary. Kwa malezi nyumbani Mwalimu hakuwa mzuri sana. Hakuwa na muda? Mzee Karume hakwenda shule. Watoto wake wawili wamefika mbali. Mzee Ali Hassan Mwinyi watoto wake wengi wamesoma vizuri na wana nafasi zao. Infact, yule aliyegombea ubunge wa EALA jana alijieleza vizuri kuliko mgombea yeyote.