Uwiiiiiiiii, TCU mnazidi kunipandisha presha!

nahis jana ulilala bar sasa ndo ume ku-ru-pu-ka toka usingizin!!!! Acha chezea akili za watu kijana!!!

ndio tatizo letu wabongo,kila kitu tunachoambiwa,tunaona kama tunadanganywa.
 
sasa unadhan ntakubal vp akat nikiweka inazingua!!!!

mfano,me jana niliweka hii code ya sua SU004,wakaniletea raia wote waloiomba hyo kozi na wakawa eligible,alafu wale ambao hawajachaguliwa kwenye hiyo kozi wanaandikiwa kwa mbele code ya chuo walichochaguliwa,test mara nyingi uwezavyo.
 
Kwa anaetaka kujua kapangiwa wapi.it's simple,ingia kwenye Cas,ile sehemu ya kuweka username unaandika code ya chuo let say Udsm code yake ni UD,afu ile sehemu ya pasword unaweka hzi number 111111,automaticaly utaingia kwenye majina ya watu walochaguliwa kwenye chuo husika utaona ka umechaguliwa or not.
Note:hzo password zinaenda zikibadilika badilika,so usishangae ukitest zikagoma.

Mkuu ka vip ikikubali tudondoshee madude hapa jamvini!!
 
Hehe, tcu bhana! Nimechek 1st koz not eligible alaf the rest all eligible wakati b4 kulikua na not eligble in 2nd and 7th kozi
 
aise mazee naona hilo jambo ni kwa kila mtu mazeeeeee maana hata mimi all are eligible except my first option ndio ime kuwa not eligible. But i think siyo gurantiee that utakuwa umechaguliwa huko may nitatizo la kiufundi au site iko down for maintanance au ndio wa upload selection! lets wait

Hata me jana jion nili log in nikakuta 1st choice wamemark not eligible ila nilipocheki for eligibility mambo yakawa vile vile ila nilipolog out na kisha kulog in nikakuta swaafi kabisa
 
Kuweni na subira wadau wenzangu nahc kosa waliofanya tcu na kuacha system waz hadi leo ilipaswa waifunge had siku ya matokeo mana wenye mioyo ya samaki watakufa kwa presha
 
TCU must aim to something else beyond supposition,if u refer back even the last year applicants the case was the same,if marked not elegibl means that u wil nvr b selected at that course
 
Mimi naishauri TCU wa-introduce kitu kama fee (5000/=) kwa yeyote anaye-log in kwenye hiyo website yao. Hii mambo ya kila aliye-apply ku-log in kila dakika na kuja hapa JF kusumbua /kuwapa pressure wengine itapungua.
 
Mimi naishauri TCU wa-introduce kitu kama fee (5000/=) kwa yeyote anaye-log in kwenye hiyo website yao. Hii mambo ya kila aliye-apply ku-log in kila dakika na kuja hapa JF kusumbua /kuwapa pressure wengine itapungua.
na hiyo elfu tano unawatumiaje? Kwa m-pesa?
 
Kwa anaetaka kujua kapangiwa wapi.it's simple,ingia kwenye Cas,ile sehemu ya kuweka username unaandika code ya chuo let say Udsm code yake ni UD,afu ile sehemu ya pasword unaweka hzi number 111111,automaticaly utaingia kwenye majina ya watu walochaguliwa kwenye chuo husika utaona ka umechaguliwa or not.
Note:hzo password zinaenda zikibadilika badilika,so usishangae ukitest zikagoma.

aya basi tuwekee list ya watu aliochaguliwa Bcom Finance udsm
 
hata wakiweka hiyo fee bado 2ta log in na kuchungulia bcoz tcu wamekuwa hawaeleweki heleweki tangu mwanzon!
 
pole sana mkuu ushari wangu kwa wote kwa sasa ni kusubiri hizo selection maana kila cku kuna hili mara lile mtachanganikwa bure.
 
Hehe, tcu bhana! Nimechek 1st koz not eligible alaf the rest all eligible wakati b4 kulikua na not eligble in 2nd and 7th kozi

Just simple selection ndo imeanza na imefanyika kwa first choice tu. mfano mzuri weka kasa kwenye code utapata majibu.
 
Back
Top Bottom