unajua nini man,test mara nyingi nyingi,hata me mwanzo ilinizingua hvo hivo.
sasa unadhan ntakubal vp akat nikiweka inazingua!!!!ndio tatizo letu wabongo,kila kitu tunachoambiwa,tunaona kama tunadanganywa.
sasa unadhan ntakubal vp akat nikiweka inazingua!!!!
Kwa anaetaka kujua kapangiwa wapi.it's simple,ingia kwenye Cas,ile sehemu ya kuweka username unaandika code ya chuo let say Udsm code yake ni UD,afu ile sehemu ya pasword unaweka hzi number 111111,automaticaly utaingia kwenye majina ya watu walochaguliwa kwenye chuo husika utaona ka umechaguliwa or not.
Note:hzo password zinaenda zikibadilika badilika,so usishangae ukitest zikagoma.
tuambie herbert kairikuk ilikuw yangap bac mkuu
ilikuwa chaguo langu la tatu
aise mazee naona hilo jambo ni kwa kila mtu mazeeeeee maana hata mimi all are eligible except my first option ndio ime kuwa not eligible. But i think siyo gurantiee that utakuwa umechaguliwa huko may nitatizo la kiufundi au site iko down for maintanance au ndio wa upload selection! lets wait
na hiyo elfu tano unawatumiaje? Kwa m-pesa?Mimi naishauri TCU wa-introduce kitu kama fee (5000/=) kwa yeyote anaye-log in kwenye hiyo website yao. Hii mambo ya kila aliye-apply ku-log in kila dakika na kuja hapa JF kusumbua /kuwapa pressure wengine itapungua.
Kwa anaetaka kujua kapangiwa wapi.it's simple,ingia kwenye Cas,ile sehemu ya kuweka username unaandika code ya chuo let say Udsm code yake ni UD,afu ile sehemu ya pasword unaweka hzi number 111111,automaticaly utaingia kwenye majina ya watu walochaguliwa kwenye chuo husika utaona ka umechaguliwa or not.
Note:hzo password zinaenda zikibadilika badilika,so usishangae ukitest zikagoma.
Hehe, tcu bhana! Nimechek 1st koz not eligible alaf the rest all eligible wakati b4 kulikua na not eligble in 2nd and 7th kozi
Just simple selection ndo imeanza na imefanyika kwa first choice tu. mfano mzuri weka kasa kwenye code utapata majibu.