Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,332
- 7,178
Kweli wewe ni Deceptor, kwahiyo unataka kutuambia hakuna VVU au mimi sijakuelewa?Kwanza hakuna virusi vya ukimwi duniani.hivyo mada yako inakosa maana kabisa.
Wazungu wengi sana wameshajua ukweli huu,lakini sisi waafrika goigoi wa kufikiri na kutafakari kwa kina bado tuko nyuma sana ndio maana tunaendelea kuburuzwa na wazungu...
Pili hata hiyo covid 19 haipo,kilichokuwepo ni seasonal influenza na ilikuwepo tangu muda mrefu na sio ugonjwa wa kupewa air time hivyo...hakuna dalili hata moja ya covid 19 ambayo huwezi kuikuta kwenye seasonal influenza,HAKUNA...walichofanya washenzi wazungu ni kuitumia influenza kama loophole na kuibatiza jina la covid 19 na kuipa promotion kubwa kupitia vipimo fake,vyombo vikubwa na vidogo vya habari,watu maarufu kama wanamuziki,wanamichezo,wanasiasa nk..
Hii ndio dunia yetu ilivyo,kama hauko makini kusugua brain utabaki kuburuzwa tu kila siku.