Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche alitoa kauli inayoashiria kuitisha UVCCM baada ya kujana wa cdm kukamatwa na kuteswa na wanaodhaniwa kuwa vijana wa ccm. "Tutakua wapole lakini hatutakua wanyonge, kitendo walichofanya viongozi wa ccm kumteka mwenyekiti wetu wa tawi la Magadirisho kumpiga na kumminya sehemu zake za siri hakikubaliki na hatutakivumilia"alisema John Heche. Je huko si kuchochea vijana kuchukua sheria mikononi?