Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Hawana hoja ila pia vichwa wamejaza kamasi tu.Hawana hoja kila kitu kikowazi mwaka huu wamekwishaaa. (Mr. President Tundu Lissu)
Hawana hoja ila pia vichwa wamejaza kamasi tu.Hawana hoja kila kitu kikowazi mwaka huu wamekwishaaa. (Mr. President Tundu Lissu)
Ungejua tulivyo imara ,tupo tunaandaa sherehe ya ushindi kila eneo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Wapo mashoga wanahangaika kupendeza na sare za chama badala ya kufanya kampeni ndio basi tena PONDA Keshawashika kende wamebaki wanatoa macho tu ...Ungejua tulivyo imara ,tupo tunaandaa sherehe ya ushindi kila eneo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kunamzee nafanya nae ni pro magufuli acha kabisa.Mnachokipuuza ndicho kinachowapeleka shimoni japo ukweli ni kwamba, katika kila vijana 100 uvccm ni 10 tu huku ndani ya hao kumi waliokunywa maji ya bendera ni wawili tu.
Kibaya zaidi hawaonekani sababu jiwe hauziki, habebeki, amechokwa vibaya sana na watanzania alafu kibaya zaidi akiwa kwenye majukwaa anaongea utumbo utadhani kalogwa au hana akili timamu.
Sasa mtu kama jiwe utakuwa na hoja gani ya kumtetea hata kama umejitoa ufahamu? Katika eneo nilipo hapa Arusha mtu aliyenivutia na mwenye hoja ni diwani tu! Mrisho gambo pamoja na magufuli nawaonea kinyaa
Kamwulize Zuchu, au Masanja au Magufuli mwenyewe kinachowapata wakijaribu kupostNimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii.Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Sheikh ubwabwa alihad sijui nani pale viwanja vya Tang.Pack alifanya nini?Gwajima atakuwa mbunge wa kawe hilo halina ubishi. Upende usipende, Halima Mdee na cdm walibweteka na kukosea kusimamisha mgombea urais ambaye ni kibaraka.
Mikutano ya Lissu yote angalia akizungumzia jambo la kumshambulia Mh Rais JPM moods za wanaomsikiliza zinabadillika na wanabakia kumshangaa.Ni ungane na Polepole hakukosea, hao wanaoenda kwa Lissu ni kushangaa msukule.
Lakin huyu shehe Ponda kammaliza Lissu kwa kauli yake ya kusema kura zote za waislamu wamekubaliana ziwe kwa Lissu. Ponda alichaguliwa lini kuwa ndiye msemaji wa Waislamu wote wa Tanzania?
Lissu najua ni zuzu flani hivi kafurahia kauli ile yaPonda akifikiri ndio kapata. Na uzuzu wa Lissu ukiendelea kuendekezwa sijui Taifa hili litaishia wapi? Hivi ni kweli kuwa hatari ya Lissu na mieyendo yake canot be anticipated? Na naomba Lissu umuulize Ponda anajua kuwa kuna kura za Wakristo wa Tanzania na siasa haichangamanishwi na udini? Alitumia uhalali gani kuwaapisha watu wa imani nyingine ya tofauti na Sheikh Ponda. Anajua alichofanya ni usumbufu usio wa lazima kwa watu wa imani nyengine tofauti na yeye?
Pamoja na ushabiki mwingi ulioko kwenye mitandao, hivi umeshawahi kufanya utafiti kidogo tu kujua hao wanaopost sana kwenye mitandao ni watu wangapi?Nimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii.Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Vya muhimu ndio vile vya niketeeni mwanamke mweupeMkuu vijana wa CCM wanapost kile cha muhimu tu. Hawapost kila kitu. Mfano, ebu angalia walichopost Chadema leo kuhusu kampeni za Lissu Babati halafu uniambie kuna kitu gani cha maana.
Wanalo si waandike nireteee gwajimaaaaaaaaaaaa!!Unawaonea sio wamelala hawana chakuandika! kuna lipi la maana au waandike kuhusu madaraja yasiyosaidia kuondoa mafuriko
Siku zote Tajiri huwa hajiangaishi sana kutaka Kupambana 'Kimaneno' na Kapuku, ila Yeye huwa Kimya tu huku Utendaji wake ukiimarika Kiufanisi.Nimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii.Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Mambo sio shwari mpka wanalalia waya za fenceNimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii.Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Watakaoipigia kura CCM mwaka huu ni wagombea walioteuliwa kupeperusha bendera katika viti vya ubunge na udiwani na familia zao, viti maalumu wanaosubiri kuapishwa, na familia zao, TISS maana hawa ni CCM B, na wa mikoa na wakuu wa wilaya wachache na familia zao, hata baadhi ya wateuliwa wa Magu hawatompigia kura magu maana wameishi roho mkononi kwa miaka yote mitano, hawana hamu nae wanamchekea usoni tu. Hili ndio kundi pekee ambalo CCM wana uhakika na kura zao.
Makundi mengine inahitaji mtu uwe kichaa ndio uipigie kura CCM.
Nyinyi ni ufalme uliofitinika, hamna hoja za kujibu kabisaa ndio maana mmelala usingizi wa ponoNimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii.Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Hawa kenge wanatupoteza wa tz kwa masilahi yao binafsiView attachment 1604206
Nimekuwa nikifatilia sana juu ya post mbalimbali za vya vyama vya siasa katika mitandao ya kijamii. Kila post ni vyama vya upinzani tu.
Habari za Tundu Lissu zimetamalaki kila kona sasa najiuliza vijana wa UV-CCM mko wapi ? Hampo kabisa katika mitandao ya kijamii hususani Faceboo,Tweeter na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo Jamii Forum.
Tunahitaji habari mbalimbali za chama katika mitandao ya kijamii hasa niliyohitaja.
CCM tumelala sana,tunahitaji kupost habari mbalimbali za chama katika mitandao na hakuna kuwaachia upande wa pili kujitawala katika mitandao.
Upotoshaji umetawala sana na watu wa kujibu upotoshaji huo ni CCM na timu yake hasa UVCCM.
TUSILALE JAMANI HUKU NDO KAMPENI ZILIKOHAMIA
Umenena vema jf ni tawi la bavichaWanapoteza muda tuu! Ukweli nikwamba hawataweza shinda! Halafu kuhusu humu Jf Lissu analindwa sana Moderator JamiiForums @fung Paw wanazuia nyuzi kinzani na Lissu hata ukiandika azipostiwi hivyo ni bora kuwa msomaji! Kwa hiyo ndio maana jukwaa limetawaliwa na chadema