Mkuu ingawa sijui unazungumzia nini 😂😂 ila hapo kwenye bugiri rekebisha kidogo ni burigi au kwa kirefu, Burigi -Chato.Mrembo wa kisukuma alikuwa kimada/hawara wa bugiri wakati wote wako ndani ya ndoa na walizaa mtoto mmoja na hatimaye ndoa ya bidada ikavunjika. Alihongwa nyumba moja kati ya nyumba alizokwapua bugiri. Sasa hivi inadaiwa bugiri kampa huyo hawara yake cheo kikubwa pale madini.