Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,881
- 13,269
Wakikosa namna ya kukukosoa kwa unayoyafanya sasa watafufua yaliyozikwa
Yalizikwa lini?
Wakikosa namna ya kukukosoa kwa unayoyafanya sasa watafufua yaliyozikwa
Naomba nisisitize,mwenye picha ya Sundi Malomo, tafadhali share. Ila wakubwa wanafaidi aisee....anyways..Sundi oyeeeTupieni picha ya huyo sundi malomo tumuone
JPM anaongea lugha ya mwananchi, anaongea lugha aliyokuwa akipenda kuitumia Mwalimu Nyerere kuhusiana na umuhimu wa mtu wa chini kuheshimiwa kwani ndio chanzo cha mtu wa juu kuwa kama alivyo.
Ukishaeleweka miongoni mwa wananchi wa chini, hizi siasa za kufukua habari za miaka zaidi ya kumi iliyopita zinakuwa hazina mashiko.
Sijui wakati una comment ulikuwa unajua atakuja kuwa rais.....Mh JPM Rais ajae wa TZ.....
Anzeni kulizoea hili...
JPM ni mpaka 2025. Mengine yote ni hadithi za kupoteza wakati.Ufisadi ni ifisadi tu, hata kama ipite miaka mia iko siku atapandishwa kizimbani . Tupa nje fisadi jiwe
JPM ni mpaka 2025. Mengine yote ni hadithi za kupoteza wakati.
Heshima kwako mkuu. Nipo aiseeMzee wa Copenhagen hujambo lakini?.
Mkuu kipindi hiki cha kati umepoteaDuh!
JPM ni mpaka 2025. Mengine yote ni hadithi za kupoteza wakati.
Na Ni Nani aliyezika?Yalizikwa lini?
Nakutafutia nipe muda kidogo tuNaomba nisisitize,mwenye picha ya Sundi Malomo, tafadhali share. Ila wakubwa wanafaidi aisee....anyways..Sundi oyeee
Unapofurahisha Ni pale nafsi inapokusuta kila ukijaribu kutafuta namna ya kumtetea kuwa sio fisadi.JPM ni mpaka 2025. Mengine yote ni hadithi za kupoteza wakati.
Huyu ni mpaka 2025. Na Leo hii kuna kozi inamalizika pale jeshini bahari beach.
- Nchi yetu ni tajiri, Watanzania tunaweza,
- Jengo hili limegharimu Mabilioni ya fedha zaidi ya bilioni 700,
- fedha hizi zimetolewa na Watanzania kwa asilimia 100%,
- ambapo asilimia 15% fedha taslimu na 85% tumekopa ,
- na mkopo huu utarejeshwa kupitia kodi zetu.