Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,008
- 5,446
Habari wataalam na wenye hekima,
Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.
Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.
Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!
Tafdhali msaada plz
Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.
Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.
Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!
Tafdhali msaada plz