USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
=====
Bujumbura. Kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lilioikumba nchi za Syria na Uturuki lililosababisha vifo vya watu zaidi ya 28,000 na uharibifu mkubwa, Serikali ya Burundi imeamua kutuma timu ya watu 10 kwenda kusaidia uokoaji.
Hii imekuja kama hatua ya mshikamano na watu wa Uturuki waliokumbwa na matetemeko makubwa ya ardhi tangu Jumatatu na kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha.
"Wakati wa kuwasili, timu itatumwa na mamlaka ya Uturuki katika maeneo ambayo wanaihitaji zaidi," amesema Albert Shingiro, waziri wa mambo ya nje wa Burundi ameliambia shirika la habari la BBC siku ya Jumapili.
Shingiro amesema,“hakuna raia wa Burundi aliyeathiriwa, na Sabria Samir Kaze ambaye alikuwa katika mji wa Gaziantep, uliokumbwa vibaya na tetemeko la kwanza alihamishwa hadi Ankara.”
Burundi haikutuma waokoaji Syria kwa sababu ni vigumu kufikia maeneo yaliyoathiriwa hata hivyo, serikali inasema inawahurumia watu wanaoteseka huko nchini Syria.
Mwananchi
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
=====
Bujumbura. Kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lilioikumba nchi za Syria na Uturuki lililosababisha vifo vya watu zaidi ya 28,000 na uharibifu mkubwa, Serikali ya Burundi imeamua kutuma timu ya watu 10 kwenda kusaidia uokoaji.
Hii imekuja kama hatua ya mshikamano na watu wa Uturuki waliokumbwa na matetemeko makubwa ya ardhi tangu Jumatatu na kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha.
"Wakati wa kuwasili, timu itatumwa na mamlaka ya Uturuki katika maeneo ambayo wanaihitaji zaidi," amesema Albert Shingiro, waziri wa mambo ya nje wa Burundi ameliambia shirika la habari la BBC siku ya Jumapili.
Shingiro amesema,“hakuna raia wa Burundi aliyeathiriwa, na Sabria Samir Kaze ambaye alikuwa katika mji wa Gaziantep, uliokumbwa vibaya na tetemeko la kwanza alihamishwa hadi Ankara.”
Burundi haikutuma waokoaji Syria kwa sababu ni vigumu kufikia maeneo yaliyoathiriwa hata hivyo, serikali inasema inawahurumia watu wanaoteseka huko nchini Syria.
Mwananchi