Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Huku waliko maelfu kuna utulivu, huko waliko wawakilishi wachache vurugu. something must be wrong somewhere.
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.
Duuuuuh...! Anyway huo ni mtazamo wako tu.Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.
umeacha hizi
serikali ni maha...ni..th.......mbunge chadema
....waziri mpumbavu.....mbunge chadema
rais ni mdini.........mbunge chadema
umeacha hizi
maha...ni..th.......mbunge chadema
Kwanza impotent sio sahihi kusema ------- ni uzushi kwa maana nyingine wewe na ccm wenzio ni wafa maji ........
Impotent means non productive
Serikali ya ccm ni non productive in every aspect, Elimu, afya, kilimo, miundombinu, maji nk sasa kuna kosagani
kusema serikali hii ni impotent- non productive.
....waziri mpumbavu.....mbunge chadema
Ni kweli kabisa mawaziri wa serikali ya ccm niwapumbavu, nitathibitisha hoja na dhana hii
1. Elimu kuanzia kwa takribani miaka saba mfurulizo graph ya elimu inashuka na cha ajabu mwaka matokeo 2012 zaid ya
90% form four ni falure. Huu ni upumbavu ulivuka mipaka hawa mwaziri wa elimu wanaliangamiza Taifa.
2. Afya mpaka sasa wenye uwezo wote wakiwemo wabunge mawaziri nk, wamegeuza India ndiyo kimbilio je na sisi maskini tuende wapi? zahanati na hopitali za erikali zimebaki majina hakuna lolote zaidi ya majengo na upuuzi mwingine-tiba hakuna, huu sio upumbavu wewe unakimbilia ujerumani kutibiwa raia wako wanateketea tena unaafukuza kazi madakitari!!!!!!!!!!!!
3. Kilimo mpaka sasa mkulima yule wa kijijini ndiye anayebeba gharama zote za kipuuzi, mfumko wa bei, bei ya ovyo kwa mazao yake, kuibiwa mazao yao mfano korosho, pamba na tumbaku, hata mafuta ya taa kwa faida ya mafisadi waakulima wanauziwa bei mbaya kisa matajiri wasichakachuwe petrol huu sio upumbavu????
4. Usafiri wa anga mpaka sasa Rwanda hapo mjini Kigali wanandege zaidi ya Tano, tanzania pamoja na utajiri wote tunandege ngapi??? huu sio upumbavu???
5. Usafiri wa reli mpaka sasa tunasuasua na huu ndiyo usafiri wenye gharama ndogo na bora duniani hususan kwa mizingo, katika hili huko kenya wanaplani treni za umeme kwa abilia, sisi hata hizi line mbili kati na TAZARA tuko hooi bin tabani huu sio upumbvu???
7. Maji safi na salama, mfano ni bungeni leo jion, maji yamezua mjadala mpana, miaka 50 tuko huru pamoja na rasmalimali nyingi tulizonazo watu wanalialia, pamoja na vyanzo kibao hali ni mbaya kabisa kwanini?? huu siyo upumbavu????
8. Umeme, tunaibiwa kila siku kwa mipango mibovu, mikataba ya ovyo IPTL, RICHMOND, nk umeme wa uhakika miaka 50 tuko huru hakuna sababu nini, huu sio upumbavu???
rais ni mdini.........mbunge chadema
Mwenyekiti wa ccm taifa ni kikwete - ndani ya ilani ya ccm imeandikwa nini na katiba inasema nini??
Kama Rais, kwanini katika utawala wake kuna matukio zaid ya 70 kuchomwa au kuhalibiwa nyumba za ibada amekamata na kufunga wangapi? kama bado amewachukulia hatuagani maafisa polisi waloshindwa kuwakamata wahalifu kama hapana yupo upandegani? tusaidie jibu!
Ni vipi baadhi ya wahubiri kuachwa wakifanya uchochezi kwa vibali vya serikali yake nchi nzima wakihamasisha mauwaji bila kuchukuliwa hatua. Baada ya miezi sita mbegu kumea, watu wanauwana watu wanagombania kuchinja ndiyo rais na serikali yake anakurupuka huu sioyo udini? alikuwa anangoja watu wachinjane au yeye ni sehem ya mkakati siasa udini!!
Mawaziri ni wapumbavu na huu ni ukweli, unaweza kukanusha kwa kupinga kila hoja niliyoiweka hapo juu????
Mwambie huyo,coz anakurupuka tu na kutufanya wengine hatufuatilii mijadala ya bunge..WABUNGE WALIOTOLEWA BUNGENI NI WAPIGANIA HAKI ZA WATANZANIA WOTE BILA KUJALI MASLAHI YA VYAMA.Mkuu Mbogo-1 angalia kauli hizi kama mfano tu.
Siongei na mbwa (mbunge) naogea na mwenye mbwa (kiti cha spika) - mbunge ccm
wagunge wanamimba zisizotarajiwa - mbunge ccm
Camooon ---- you - mbunge ccm
Slaa anafanya mikutano na viongozi wa kidin na cdm ni wapuuzi sana - mbunge ccm
bajeti ya wapinzani kutupiliwa chini - mbunge ccm
Ni baadhi tu ya kauli hatarishi za kuudhi na kupelekea vurugu bungeni, tafakali angalia chanzo (source) sio matokeo
(outcomes) be smart in your presantation.
WAKO HUKU KUNA UTULIVU SANA
CHADEMAAAAAAAAA.....!!!! VEMAAAAAAAAAA....HAKUNA KULAA....MPAKA KIELEWEKE.
Tunaanza kuwajua mlio tumwa mitandaoni kwa kazi maalum. Karibu lakini.ni kweli kabisa, pia nimemsikiliza mh. mbowe ameongea vizuri sana..wale waliotimuliwa ni wahuni
Kachukue posho wewe kilaza, wabunge wanaojua kazi yao ya kuisimamia serikali unasema wenye vurugu kweli tumekwisha kama ndio mawazo ya watanzania hayo.Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.
Hakusema hivyo bali alitumia neno la Kiingereza impotent akimaanisha dhaifu. Tuangalie context ndipo tutajua alimaanisha nini. Kwa hiyo Mhe. Wenje hajatukana.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums