Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
jmushi1 na kuhakikishaia kuwa mimi ni kijana huru sijafungwa fikra zangu na chama wala mtu yeyote. Nimekuwa nikikosoa kila lenye kukosoleka na kupongeza lenye kupongezeka liwe la CDM, CCM na CUF.
Ila kama unataka niwe mwanachama wa vyama unavyosema wewe nishawishi ili nijiunge.
Lini ulirudisha kadi ya cuf? kadanganye watoto sio sisi watu wazima na akili zetu mgoshi. unasumbuliwa na dhambi ya ubaguzi wa kidini tu hauna maradhi mengine.