Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,325
- 5,946
Matokea ni yaleyale yalioleak jmosi, TCU inawachagulia chuo si unilichochagua mtu aliyepata 1.7 PCB chaguo lake la 1 ni MUHAS wao wamempeleka BUGANDO mwingine chaguo lake la 1 ana div 3.10 wamempeleka MUHAS. Kijana wangu chaguo lake la 1 ud law div 2.8 wamempeleka mzumbe rafiki yk 2.9 kapelekwa ud, mwingine kapelekwa st joseph na jina lake leo nimeliona kapata 1.7 PCM ST JOSEPH chaguo lake la mwisho. Sio haki kabisa
Huoni kwamba hilo ni jambo zuri kuondoa MATABAKA