Uteuzi wa Kadhi Mkuu kuthibitishwa na Raisi wa Serikali ya Muungano

Kosa ni kufikiri kuwa misamaha ya kodi inawanufaisha wakristo! Hivi hutambui kuwa sheria ya misahama nikwa taasisi zote za dini na miskiti/mashehe wamenufaika nayo? Pili hujui maeneo mengi watanzania wadini zote uhudumiwa na hosptal zinazomilikwa na makanisa?

Vatican ni nchi yenye status tofauti na Zbar. Ina barozi katika umoja wa mataifa kama nchi nyingine pia. Kuhudumiwa kwa ubarozi wa vatican unako kuzungumzia sijui ni kwa namna gani maana serikali haiwajibiki kuhudumia balozi (Tafuta kifungu kwenye Bajeti)

Unapojenga hoja ya kadhi ni vyema ukaitetea yenyewe ukitaka kulingasha yasiyo linganishika utakwama

Regards

Angalia mwengine huyu anazungumza asilolijua una uhakika unalolisema? Vatican tangu lini amekuwa mwanachama wa umoja wa taifa au ndio wale wale?
 
Kosa ni kufikiri kuwa misamaha ya kodi inawanufaisha wakristo! Hivi hutambui kuwa sheria ya misahama nikwa taasisi zote za dini na miskiti/mashehe wamenufaika nayo? Pili hujui maeneo mengi watanzania wadini zote uhudumiwa na hosptal zinazomilikwa na makanisa?

Vatican ni nchi yenye status tofauti na Zbar. Ina barozi katika umoja wa mataifa kama nchi nyingine pia. Kuhudumiwa kwa ubarozi wa vatican unako kuzungumzia sijui ni kwa namna gani maana serikali haiwajibiki kuhudumia balozi (Tafuta kifungu kwenye Bajeti)

Unapojenga hoja ya kadhi ni vyema ukaitetea yenyewe ukitaka kulingasha yasiyo linganishika utakwama

Regards

Wagumu kuelewa hao hadi uandike kimadrasa!
 
Mdondoaji,

..suala la mahusiano kati ya Vatican na Tanzania labda unaweza kulitumia kujenga hoja ya kujiunga na OIC.

..suala la mou kati ya serikali na taasisi za kikristo halihusiani na masuala ya kiimani. serikali na makanisa yanasaidiana ktk kutoa huduma za kijamii kwa wananchi wote bila kubagua.

..suala la mahakama ya kadhi linawahusu Waislamu peke yao, wakati shule,vyuo,zahanati,hospitali, ambazo serikali na makanisa wanashirikiana kuziendesha zinahudumia wananchi wote.

..you have to be very careful while making these arguments. hivi serikali leo hii ikisema inavunja uhusiano na Vatican, na inasitisha utekelezaji wao mou, ina maana hoja yako kuhusu mahakama ya kadhi itakuwa imekwisha??!!
 
Sawa sisi wavivu wa kufikiri kama nyie mlivyo wavivu wa kuona. kuhusu Vatican nimekupeni vipengele hapo juu kwanini vinaiweka Vatican sio nchi, kwanza ni nchi ambayo activities zake zote zimelenga kutoa huduma ya kiroho. Sasa nikuulize Saudi Arabia wanatoa tu huduma za kiroho?, Iran je? Mbona mnazungumza mapumba tu. Pili Vatican imekuja kwasababu hoja yenu kubwa ya kijinga ni kwamba mnadai serikali haina dini. Sasa nikimnukuu Professor Ian Brownlie's standard student textbook anasema hivi " the Vatican City claim is doubtful and the personality of the Holy See, as a politico-religious hybrid, is "even more difficult to solve" and can only be characterised by the way in which individual states relate to it. (20)".

Kwa hivyo unakuta ile bilateral relatioship aliyoianzisha Nyerere na Vatican ilitokana na mahusiano ya kiroho zaidi kuliko kiubalozi na hivyo hivyo zilivyo balozi za vatican sehemu nyengine. Sasa unakuta kuwa Serikali imeanzisha mahusiano na taasisi za kidini wakati ambapo yenyewe inaclaim haina dini hii ni ujinga na usanii. Waislamu walipotaka kujiunga na OIC mapapa wenu walitoka hadharani kudai kuwa Tanzania ni nchi ambayo haina dini wakasahau Vatican nayo inafanya nini Tanzania. Fatilia mjadala wa Vatican UN utajua kwanini walipigwa nyundo kukataliwa kuwa member wa UN na kwa kuwaonea haya wakawapa special position kuwa Observatory member ili wasionekane wamekosa kabisa but Vatican sio nchi na hilo mkae mkilijua sio maneno yangu bali magwiji wa international law wameyasema mimi nanukuu tu.

Kwa wale wataalamu wa siasa za kimataifa wanatambua kuwa kuna mijadala isiyo kuwa na mwisho ya kwanini sehemu A iitwe nchi na B isiitwe nchi. katika mjadala huo hou wa hadhi ya Vatican katika umoja wa mataifa naomba ujibu swala lifuatalo.

Hivi Palestina ni nchi au sio nchi?

Shukran
 
Mdondoaji,

..suala la mahusiano kati ya Vatican na Tanzania labda unaweza kulitumia kujenga hoja ya kujiunga na OIC.

..suala la mou kati ya serikali na taasisi za kikristo halihusiani na masuala ya kiimani. serikali na makanisa yanasaidiana ktk kutoa huduma za kijamii kwa wananchi wote bila kubagua.

..suala la mahakama ya kadhi linawahusu Waislamu peke yao, wakati shule,vyuo,zahanati,hospitali, ambazo serikali na makanisa wanashirikiana kuziendesha zinahudumia wananchi wote.

..you have to be very careful while making these arguments. hivi serikali leo hii ikisema inavunja uhusiano na Vatican, na inasitisha utekelezaji wao mou, ina maana hoja yako kuhusu mahakama ya kadhi itakuwa imekwisha??!!

Precisely kama Tanzania is a secular state then we should be a secular state kwani huwezi kusema secular halafu nyuma ya mlango unafanya the opposite. Mie I am in favor of fairness kama vinafanyika huku then muslims should be given Kadhi court na OIC if they want. Kama hawatapewa basi ni vema tukakosa wote period
 
Kwa wale wataalamu wa siasa za kimataifa wanatambua kuwa kuna mijadala isiyo kuwa na mwisho ya kwanini sehemu A iitwe nchi na B isiitwe nchi. katika mjadala huo hou wa hadhi ya Vatican katika umoja wa mataifa naomba ujibu swala lifuatalo.

Hivi Palestina ni nchi au sio nchi?

Shukran

Wewe unaonaje na unadhani kwanini Palestine sio nchi au nchi? Na kwanini Nyerere aliwaruhusu kufungua ofisi zao Nchini? Na Kiongozi wa Palestina ana wafuasi wa kiroho kama alivyo papa wenu? Maana naona unatoka nje ya topic.
 
Mdondoaji,

..nadhani unachanganya madawa hapa.

.."mou" ingekuwa na matatizo kama ingehusisha masuala ya kiroho.

..serikali na taasisi za kikristo zimesaini mou ili kushirikiana ktk kutoa huduma za kijamii kama afya na elimu.

..njia iko nyeupe kabisa kwa taasisi za kiislamu kama Bakwata,Balukta,Warsha, kuungana pamoja na kusaini mou ili nao waweze kuwa na mashirikiano na serikali.

..kwa taarifa yako tu, Bakwata wamekuwa wakipewa misaada mbalimbali na serikali kabla na baada ya kusainiwa kwa mou.

..tatizo ninaloliona ktk taasisi nyingi za Waislamu ni ile itikadi ya "bora tukose wote". mara nyingi utasikia wakiipiga vita Bakwata kuwa inasaidiwa na serikali. binafsi ningeelewa kama maneno hayo yangetoka kwa wapagani lakini siyo Waislamu.

..hata bila ya kuwa na "mou", bado serikali imetoa chuo cha Tanesco kuwasaidia Waislamu ktk kuanzisha Chuo Kikuu.

..suala la Kadhi Courts ni tofauti kidogo na hili la "mou". mahakama ya Kadhi hakuna uwezekano wa kuwahudumia wananchi wa imani tofauti na Waislamu, wakati hospitali,shule,na vyuo, vinavyofadhiliwa na "mou" zinatoa huduma kwa wa-Tanzania wote bila kubagua. nakumbuka kusoma Shekhe Mkuu Simba kutibiwa hospitali ya kcmc!!!

..kuhusu OIC mimi naomba kuhakikishiwa kwamba serikali haitajihusisha na masuala na ajenda za kiroho za shirika hilo kama kueneza na kuenzi Uislamu. kama tutajiunga huko kwa nia ya kutafuta ushirikiano ktk masuala ya kijamii na kiuchumi sitakuwa na matatizo yoyote.
 
JokaKuu;141350

..suala la mahusiano kati ya Vatican na Tanzania labda unaweza kulitumia kujenga hoja ya kujiunga na OIC.
"Hiyo ni hoja moja lakini economic benefits za kujiunga pia zitawafaidisha waTanzania bila kujali dini zao"..
..suala la mou kati ya serikali na taasisi za kikristo halihusiani na masuala ya kiimani. serikali na makanisa yanasaidiana ktk kutoa huduma za kijamii kwa wananchi wote bila kubagua.
"Kwanini isaidie taasisi za kikristo tu..huoni kwamba kuwepo kwa huduma hizo ambazo zimelipiwa na waislamu japo zina mabango ya kikristo directly tumeshiriki kutangaza ukristo?" Besides bei za huduma hazilingani na za serikali...si hayo tu usijaribu ku-fool watu serikali inaweza kushindwa kujenga hospitali ya mkoa itegemee ya kanisa? no ni conspiracy iliyofanywa na wafanyakazi wa serikali wakristo ili kupata hela za watu halafu kutumia kutangaza dini period!

..suala la mahakama ya kadhi linawahusu Waislamu peke yao, wakati shule,vyuo,zahanati,hospitali, ambazo serikali na makanisa wanashirikiana kuziendesha zinahudumia wananchi wote.
"Je unaweza kukubalia majengo yote yaliyojengwa na shule zote zilizojengwa kwa hela za kodi zetu zibandikwe upya kuonyesha siyo za kanisa perse "owned by state in partnership ili watu tukienda kutumia tunaenda vifua mbele." sio kujidai church ime-build kumbe hela zetu sote"
..you have to be very careful while making these arguments. hivi serikali leo hii ikisema inavunja uhusiano na Vatican, na inasitisha utekelezaji wao mou, ina maana hoja yako kuhusu mahakama ya kadhi itakuwa imekwisha??!!
" Kwanza hawawezi kusitisha kwasababu wanawaogopa maaskofu period! Pili ikiwa hakuna MoU mahakama ya kadhi itakuwa halali kuendeshwa na waislamu wenyewe..kwakuwa haki itakuwa imetendeka japo imechelewa" lakini wawape waislamu hela kiasi walichowapa taasisi za kikristo tangu MUO iliposainiwa hadi leo"
 
Mdondoaji,

..nadhani unachanganya madawa hapa.

.."mou" ingekuwa na matatizo kama ingehusisha masuala ya kiroho.

..serikali na taasisi za kikristo zimesaini mou ili kushirikiana ktk kutoa huduma za kijamii kama afya na elimu.

..njia iko nyeupe kabisa kwa taasisi za kiislamu kama Bakwata,Balukta,Warsha, kuungana pamoja na kusaini mou ili nao waweze kuwa na mashirikiano na serikali.

..kwa taarifa yako tu, Bakwata wamekuwa wakipewa misaada mbalimbali na serikali kabla na baada ya kusainiwa kwa mou.

..tatizo ninaloliona ktk taasisi nyingi za Waislamu ni ile itikadi ya "bora tukose wote". mara nyingi utasikia wakiipiga vita Bakwata kuwa inasaidiwa na serikali. binafsi ningeelewa kama maneno hayo yangetoka kwa wapagani lakini siyo Waislamu.

..hata bila ya kuwa na "mou", bado serikali imetoa chuo cha Tanesco kuwasaidia Waislamu ktk kuanzisha Chuo Kikuu.

..suala la Kadhi Courts ni tofauti kidogo na hili la "mou". mahakama ya Kadhi hakuna uwezekano wa kuwahudumia wananchi wa imani tofauti na Waislamu, wakati hospitali,shule,na vyuo, vinavyofadhiliwa na "mou" zinatoa huduma kwa wa-Tanzania wote bila kubagua. nakumbuka kusoma Shekhe Mkuu Simba kutibiwa hospitali ya kcmc!!!

..kuhusu OIC mimi naomba kuhakikishiwa kwamba serikali haitajihusisha na masuala na ajenda za kiroho za shirika hilo kama kueneza na kuenzi Uislamu. kama tutajiunga huko kwa nia ya kutafuta ushirikiano ktk masuala ya kijamii na kiuchumi sitakuwa na matatizo yoyote.

Nadhani wewe ndie unachanganya madawa kwa kutaka kujustify kwani serikali iliruhusu Vatican City kuja Tanzania na MOU yenu sio sijaiona point yeyote ya maana isipokuwa upupu nashukuru Topical amenisaidia kujibu anyway Kama wewe hutaki Joka Kuu waislamu wapatao 15 milioni wanaitaka whether mkitaka hamutaki ndio hivyo inakuja.

Umedai kuwa serikali imesaini MOU na kanisa kutoa huduma za kijamii hii spin off kawadanganye wengine lakini sio baadhi yetu wangelikuwa wanashirikiana kutoa huduma za kijamii taasisi za kiislamu zingelihusishwa kutengeneza hiyo MOU. Therefore this is baseless point.

Bakwata, Balukta na wengineo mngelikuwa waungwana zaidi wale mapadri waliotengeneza ile MOU wakati ule wangeliwataarifu waislamu nao waungane kutengeneza yao but no nakumbuka akina Sheikh Ponda walikuwa wakilalamika hili miaka ya 90. Kanisa likapinga eti hakuna kitu kama hicho sasa imekuja kugundulika hakuna anayelipinga hilo. Hivyo basi hii ni dharau mngelikuwa waungwana mngeliwataarifu waislamu nao waandae rasimu yao na sio nyie kufanya mambo chini kwa chini huku mnadai serikali haina dini.

Yes ni bora tukose wote to promote transparency na sio mediocre mnayoifanya kudai eti serikali haina dini but behind the scene nyie wadini wakubwa I beg to differ mkuu.

Tofauti ya mahakama ya kadhi na mahakama za sasa nini? Mahakama za sasa zina mapungufu kibao mfano waislamu wameruhusiwa kuoa wake mpaka wanne. Sheria za ndoa za Tanzania zinatambua mke anayetambulika kisheria ni mmoja swali linakuja wale wengine kwa waislamu inaenda wapi. Unakuta sheria kama hii inawabagua waislamu kwani wao wana wake mpaka wanne. Sasa your argument is weak kwani sheria za sasa za tanzania hasa za mirathi na ndoa ni za kikristo na zimekuwa zikiwabagua waislamu sijui una lipi la kusema hapa.

Kuhusu OIC ukiweza kunijibu kuhusu Vatican na Role ya Roman Catholic kiroho nchini ndio tutaelewana unfortunately wewe na wenzio mnang'ang'ania tu Vatican ni nchi wakati ukweli wa mambo Vatican ni taasisi ya kiroho. Sasa unapodai uhakikishiwe kuwa OIC haitatoa huduma ya kiroho. Nihakikishie kwanza Vatican inafanya kazi gani Tanzania wakati kimataifa bado haitambuliki kama nchi???
 
Topical,

..hakuna conspiracy yoyote ile ktk suala la "mou."

..wakati "mou" inasainiwa Raisi alikuwa Alhaji Ali Hassan Mwinyi, na waziri wa fedha alikuwa Alhaji Prof.Dr.Kighoma Malima[r.i.p]. wote hawa ni watu wanaoaminika na kuheshimika ktk jamii nzima ya wa-Tanzania. haiyumkiniki basi wacheze michezo michafu/conspiracy na kanisa.

..pia lazima uelewe kwamba serikali ndiyo iliyokwenda yenyewe kwa haya mashirika ya Kikristo na kuanzisha mazungumzo yaliyopelekea kuandikwa kwa "mou." ungekuwa umeona jinsi serikali ilivyoboronga ktk kuziendesha hospitali na shule zilizokuwa zimetaifishwa ungeshukuru busara iliyopelekea kuandikwa kwa "mou" na improvement ktk quality of services baada ya makanisa kurudi na kuendesha hospitali na shule hizo.

..siyo kweli kwamba serikali inasaidia mashirika ya Kikristo tu. hata mashirika ya Kiislamu nayo yanasaidiwa kwa namna mbalimbali bila ya kuwa na "mou" baina yao na serikali. Bakwata imekuwa ikipewa msaada mkubwa sana na serikali na huo ni ushahidi kwamba serikali haibagui ktk kutoa misaada.

..if it is possible kuwapa Waislamu kiasi kilekile walichopewa taasisi za Kikristo tangu kusainiwa kwa "mou" sitakuwa na pingamizi lolote. challenge iliyopo ni taasisi za Kiislamu kuungana na kukusanya nguvu ili nao waweze kufaidika na ushirikiano kama ule uliokuwepo kati ya serikali na taasisi za Kiislamu.
 
Nadhani itabidi kwanza kurani tukufu na hadith zote zijadiliwe bungeni na zikipitishwa ziwe sehemu ya sheria za tanzania!
 
Mdondoaji said:
Nadhani wewe ndie unachanganya madawa kwa kutaka kujustify kwani serikali iliruhusu Vatican City kuja Tanzania na MOU yenu sio sijaiona point yeyote ya maana isipokuwa upupu nashukuru Topical amenisaidia kujibu anyway Kama wewe hutaki Joka Kuu waislamu wapatao 15 milioni wanaitaka whether mkitaka hamutaki ndio hivyo inakuja.

Umedai kuwa serikali imesaini MOU na kanisa kutoa huduma za kijamii hii spin off kawadanganye wengine lakini sio baadhi yetu wangelikuwa wanashirikiana kutoa huduma za kijamii taasisi za kiislamu zingelihusishwa kutengeneza hiyo MOU. Therefore this is baseless point.

Bakwata, Balukta na wengineo mngelikuwa waungwana zaidi wale mapadri waliotengeneza ile MOU wakati ule wangeliwataarifu waislamu nao waungane kutengeneza yao but no nakumbuka akina Sheikh Ponda walikuwa wakilalamika hili miaka ya 90. Kanisa likapinga eti hakuna kitu kama hicho sasa imekuja kugundulika hakuna anayelipinga hilo. Hivyo basi hii ni dharau mngelikuwa waungwana mngeliwataarifu waislamu nao waandae rasimu yao na sio nyie kufanya mambo chini kwa chini huku mnadai serikali haina dini.

Yes ni bora tukose wote to promote transparency na sio mediocre mnayoifanya kudai eti serikali haina dini but behind the scene nyie wadini wakubwa I beg to differ mkuu.

Tofauti ya mahakama ya kadhi na mahakama za sasa nini? Mahakama za sasa zina mapungufu kibao mfano waislamu wameruhusiwa kuoa wake mpaka wanne. Sheria za ndoa za Tanzania zinatambua mke anayetambulika kisheria ni mmoja swali linakuja wale wengine kwa waislamu inaenda wapi. Unakuta sheria kama hii inawabagua waislamu kwani wao wana wake mpaka wanne. Sasa your argument is weak kwani sheria za sasa za tanzania hasa za mirathi na ndoa ni za kikristo na zimekuwa zikiwabagua waislamu sijui una lipi la kusema hapa.

Kuhusu OIC ukiweza kunijibu kuhusu Vatican na Role ya Roman Catholic kiroho nchini ndio tutaelewana unfortunately wewe na wenzio mnang'ang'ania tu Vatican ni nchi wakati ukweli wa mambo Vatican ni taasisi ya kiroho. Sasa unapodai uhakikishiwe kuwa OIC haitatoa huduma ya kiroho. Nihakikishie kwanza Vatican inafanya kazi gani Tanzania wakati kimataifa bado haitambuliki kama nchi???

Mdondoaji,

..Bakwata walikuwepo wakati serikali inajadiliana na makanisa.

..kwa msingi huo taasisi za Kiislamu hazina excuse yoyote ile kwamba toka 1992 mpaka leo zisitengeneze mou baina yao na serikali.

..Bakwata walikuwepo kama observers na siyo washiriki ni kutokana na ukweli kwamba serikali ndiyo iliyo-approach makanisa baada ya kushindwa kuendesha hospitali,vyuo,na shule, ilizokuwa imetaifisha.

..serikali inatambua ndoa za kimila,Kiislamu,na Kikristo. serikali pia imeweka kipengele ktk sheria kinachoruhusu shauri la mirathi kushughulikiwa kwa kufuata taratibu za Kiislamu,kimila,au utaratibu mwingine.

..tumeshakuwa na Raisi mwenye wake wawili, halafu unakuja kudai kwamba serikali haitambui ndoa za Waislamu??! Raisi Mwinyi si angekuwa impeached kwa makosa ya kuwa na wake wawili?

NB:

..naendelea kusisitiza kwamba mou iliposainiwa serikali ilikuwa inaongozwa na Raisi Muislamu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi. pia Bakwata walikuwa observers wakati wa mazungumzo. personally I am satisfied kwamba there was enough TRANSPARENCY during that process.

..hayo masuala mengine kwamba "bora tukose wote" nadhani hayana manufaa yoyote kwa nchi hii.
 
Mdondoaji,

..Bakwata walikuwepo wakati serikali inajadiliana na makanisa.

..kwa msingi huo taasisi za Kiislamu hazina excuse yoyote ile kwamba toka 1992 mpaka leo zisitengeneze mou baina yao na serikali.

..Bakwata walikuwepo kama observers na siyo washiriki ni kutokana na ukweli kwamba serikali ndiyo iliyo-approach makanisa baada ya kushindwa kuendesha hospitali,vyuo,na shule, ilizokuwa imetaifisha.

..serikali inatambua ndoa za kimila,Kiislamu,na Kikristo. serikali pia imeweka kipengele ktk sheria kinachoruhusu shauri la mirathi kushughulikiwa kwa kufuata taratibu za Kiislamu,kimila,au utaratibu mwingine.

..tumeshakuwa na Raisi mwenye wake wawili, halafu unakuja kudai kwamba serikali haitambui ndoa za Waislamu??! Raisi Mwinyi si angekuwa impeached kwa makosa ya kuwa na wake wawili?

NB:

..naendelea kusisitiza kwamba mou iliposainiwa serikali ilikuwa inaongozwa na Raisi Muislamu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi. pia Bakwata walikuwa observers wakati wa mazungumzo. personally I am satisfied kwamba there was enough TRANSPARENCY during that process.

..hayo masuala mengine kwamba "bora tukose wote" nadhani hayana manufaa yoyote kwa nchi hii.

Unaweza kutudhibitishia haya madai kuwa Bakwata walikuwapo kwenye huo mjadala?

Kama Rais Mwinyi na Professa Kighoma Malima walikuwapo mbona basi alisign hiyo MOU Lowassa to me this does not make anysense. Kwanza kama rais yupo na ishu kama hii ni sensitive kwanini basi asisign Rais huo mkataba maana yeye ndie muhimili mkuu wa serikali na pia exemption zote hupita kwa Wizara ya Fedha ambapo Kighoma Malima ndio alikuwa waziri. Sasa kwanini alienda kusign Edward Lowassa wasiende kusign hawa huoni kama unaendelea kujichanganya mwenyewe kwa mwenyewe?

Mpaka sasa navyokueleza mke anayetambulika na serikali ni mke mmoja soma sheria ya ndoa ya mwaka 1971 utaiona na ndio maana mzee wetu alikuwa akisafiri na mke mmoja akimuacha mwengine na vice versa. Hii ni moja ya segregation za sheria kwa waislamu. Pia tukija katika mirathi sheria za Tanzania zinapingana na sheria za mirathi za kiislamu. Sasa tuambiane hapa hamuoni kuwa mnawatenga waislamu. Umedai kuna kipengele kimeruhusu hayo mambo hebu nijibu swali langu kama wameruhusu mbona kuna mlundikano wa kesi za mirathi na divorce case za waislamu huko mahakamani? Tatizo liko wapi? Acheni hizo nyie mnapenda kuona waislamu wanatangatanga.

Unadai Bakwata wamefaidika na misamaha ya kodi na pia serikali ndio inahitajia msaada wa kanisa. Tunaomba basi statistics za kwa kiwango gani Bakwata na Makanisa yamefaidika na misamaha hiyo? Nadhani mtakimbia wenyewe hapa maana mie hizo figure niliwahi kuziona mahali.

Unasema umeridhika kwamba kuna enough transparency and yet umeshindwa kujustify as to why mpaka sasa tuna uhusiano na Vatican City, MOU anyway naweza kukuelewa kwasababu nyie mnafaidika sasa basi waislamu nao wanatafuta namna na wao wafaidike na Tanzania na kodi zao wanazolipia pia!!!
 
Mdondoaji,

..Bakwata walikuwepo wakati serikali inajadiliana na makanisa.

..kwa msingi huo taasisi za Kiislamu hazina excuse yoyote ile kwamba toka 1992 mpaka leo zisitengeneze mou baina yao na serikali.

..Bakwata walikuwepo kama observers na siyo washiriki ni kutokana na ukweli kwamba serikali ndiyo iliyo-approach makanisa baada ya kushindwa kuendesha hospitali,vyuo,na shule, ilizokuwa imetaifisha.

..serikali inatambua ndoa za kimila,Kiislamu,na Kikristo. serikali pia imeweka kipengele ktk sheria kinachoruhusu shauri la mirathi kushughulikiwa kwa kufuata taratibu za Kiislamu,kimila,au utaratibu mwingine.

..tumeshakuwa na Raisi mwenye wake wawili, halafu unakuja kudai kwamba serikali haitambui ndoa za Waislamu??! Raisi Mwinyi si angekuwa impeached kwa makosa ya kuwa na wake wawili?

NB:

..naendelea kusisitiza kwamba mou iliposainiwa serikali ilikuwa inaongozwa na Raisi Muislamu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi. pia Bakwata walikuwa observers wakati wa mazungumzo. personally I am satisfied kwamba there was enough TRANSPARENCY during that process.

..hayo masuala mengine kwamba "bora tukose wote" nadhani hayana manufaa yoyote kwa nchi hii.

Mwisho kabisa nadhani principal in fairness inasema kuvumiliana sasa terminology ya tukose wote au wote tupate is embroiled in concept of fairness (msome Abraham Lincoln kwa zaidi) Joka Kuu. Wazungu ndivyo wanavyofanya lakini waafrika sie tunapenda kufanyiziana na kuoneana na ndio maana tunatangatanga mpaka sasa.
 
Naona hatuelewani na nishasema na narudia kusema hivi mahakama ya kadhi si ibada wakuu ni mahakama kama zilivyo mahakama zengine mkae mkilijua hilo kama mnaridhia haya kama hamridhii sawa vile vile kwani sio kila maamuzi JK akiyafanya yawafurahishe nyie ndugu zetu.

Si kweli bwana hii ni mahakama kwa ajili ya waislamu na itatumia Koran na Hadith za kiislam,wala haitatumia sheria za Bunge, haitakuwa mahakama ya Jamii ya Watanzania wote bali kundi fulani la kidini hivyo ni ya kidini, hii ni kutokana maelezo yenu(Mdondoaji, Ally kombo na wangine). Ni kweli ni mahakama lakini ya kidini na hilo liwe wazi kabisa.
 
Si kweli bwana hii ni mahakama kwa ajili ya waislamu na itatumia Koran na Hadith za kiislam,wala haitatumia sheria za Bunge, haitakuwa mahakama ya Jamii ya Watanzania wote bali kundi fulani la kidini hivyo ni ya kidini, hii ni kutokana maelezo yenu(Mdondoaji, Ally kombo na wangine). Ni kweli ni mahakama lakini ya kidini na hilo liwe wazi kabisa.

Mkuu kwani nikuulize unajua asili common laws ni wapi? Hebu fatilia kama hujakuta zimetokea Anglican Church, Canon Laws je fatilia kama hujakuta zimetokea Catholic church sasa hizi ziliunda sheria nchi za ulaya na ilipokuja ukoloni sheria zile sisi tukarithi. Lakini wazungu (na hapa ndipo napowasifu na kuwapa credit yao) walifahamu pia kuna waislamu wanaofuata sharia laws wakaruhusu Kadhi courts. Sasa tumepata uhuru na kujitawala tumerithi upande mmoja Kadhi courts tumezifuta nikuulize wewe sasa mahakama za sasa za dini gani? Soma vizuri historia ya nchi yetu mkuu!
 
Mdondoaji said:
Mkuu kwani nikuulize unajua asili common laws ni wapi? Hebu fatilia kama hujakuta zimetokea Anglican Church, Canon Laws je fatilia kama hujakuta zimetokea Catholic church sasa hizi ziliunda sheria nchi za ulaya na ilipokuja ukoloni sheria zile sisi tukarithi.

Mdondoaji,

..kwa kufuata hoja yako hapo juu, basi serikali inapaswa kutumbukiza sheria za Kiislamu za mirathi na ndoa ktk mfumo wetu wa sheria.

..baada ya kufanya hivyo sote tutakuwa sawa chini ya KATIBA YA JAMHURI na hakutakuwa na haja ya kuunda Mahakama ya Kadhi.

..tatizo ni kwamba ukijenga hoja ya namna hiyo ndugu zetu Waislamu wanakuwa wakali kama pilipili.
 
Mdondoaji,

..kwa kufuata hoja yako hapo juu, basi serikali inapaswa kutumbukiza sheria za Kiislamu za mirathi na ndoa ktk mfumo wetu wa sheria.

..baada ya kufanya hivyo sote tutakuwa sawa chini ya KATIBA YA JAMHURI na hakutakuwa na haja ya kuunda Mahakama ya Kadhi.

..tatizo ni kwamba ukijenga hoja ya namna hiyo ndugu zetu Waislamu wanakuwa wakali kama pilipili.

Hilo ndio ilikuwa hoja ya nyerere alipoifuta mahakama ya kadhi kwa hila ila limefail miserably kwani sasa kuna mlundikano wa kesi. Simply kwanza hakuna wenye kuzifahamu hizo sheria kabisa. Pili sheria zengine zinacontradict na sheria za serikali mfano mirathi na as result inaleta matatizo. Hivyo basi solution ni mahakama ya kadhi ili mtu akienda njia hiyo amekubaliana na maamuzi ya huko.

Hatulii kama pilipili ila tu waislamu wanadai haki yao naomba tuwekane sawa tu
 

Re: Uteuzi wa Kadhi Mkuu kuthibitishwa na Raisi wa Serikali ya Muungano

quote_icon.png
Originally Posted by pamba
serikali ilipotoa misamaha ya kodi maaskofu na wachungaji ndio wa kwanza kulalamika kwa nini?
serikali inatoteza billion ngapi kwa siku?
Kumlipa mtu mmoja ndio ewe sababu.
Ubarozi wa vatcan mbona unahudumiwa na serikali sisi tumekaa kimya.
Mahakama itaanzishwa tu hata iwe vipi








siamini kama huyu jamaa si mlevi wa kitu flan haram!! huwezi kuwa mnafki kiasi hiki!! Msamaha wa kodi si kwa wakristo tuu, hata hivyo unawaona wakristo sababu wao ndo watoa huduma wakubwa kwa jamii, nenda kaangalie Peramiho inavyooka maisha ya watanganyika kule Songea, then kaangalie magofu ya serikali ambayo hayana manesi wala madaktari wa kuhudumia wagonjwa.
Punguza unafki!
 
Back
Top Bottom