Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Samia akiwa Magufuli shida iko wapi ?Katumwa Ngorongoro kwa kazi maalum ya kumtengenezea mazingira mjomba, huyu Samia ni Magufuli tu, tofauti jinsia.
Samia akiwa Magufuli shida iko wapi ?Katumwa Ngorongoro kwa kazi maalum ya kumtengenezea mazingira mjomba, huyu Samia ni Magufuli tu, tofauti jinsia.
Accomplishedmh sio mission hii?
Hivi mboma si ashakuwaga kwenye mabody huko tanescoUteuzi huu maana yake, mkichafua kinachofanyika Ngorongoro, mnamchafua Mabeyo na mnalichafua JWTZ. Sasa kazi kwenu.
Hapo wamasai kazi tunayo.
Lakini kwakua Mabeyo ni mfugaji mwenzetu labda atatuelewa.
Kwani walimchoka kuwa CDF?
Mtu hajapumzika hata mwezi mmoja!
Hata kupumua hakuna,mungemuwacha acheze na wajukuu kwanza
Mtu mchafu ana haki ya kuaminiwa na majukumu ya kitaifa?Mimi sipingani na Uteuzi
Swali langu, ni kwann Ngorongoro?...
🤣🤣Waswahili wa pwani , Ni Waarabu toleo la mwisho
Shida iko kwenye process ya kufikia kuwa nacho.Kapitia magumu mengi hadi kufika hapo kuwa nachoMwenye nacho ndiye huwa anaongezewa!
Vijana wakajiajiri maana fursa ziko tele.
Katumwa Ngorongoro kwa kazi maalum ya kumtengenezea mazingira mjomba, huyu Samia ni Magufuli tu, tofauti jinsia.
We naye mmasai kumbeHapo wamasai kazi tunayo.
Lakini kwakua Mabeyo ni mfugaji mwenzetu labda atatuelewa.
Ndio Rafiki.We naye mmasai kumbe