Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Ukiniuliza sasa hivi nitakwambia bora Lowasa maana nina vitu ambavyo naweza tumia kumtetea:
1. Alianzisha bara bara tatu - kwa kiongozi ni muhimu kujaribu different alternatives failure & success ni vitu vingine
2. Shule za kata - ''
3. Discipline kazini - ilikuwa juu kwa wakuu wa mikoa na wilaya
4. Aliikataa Richmond Kikwete akaing'ang'ania
5. ......
Ebu nisaidieni aliyoyafanya Sumaye?
Maaana hawa watu wawili wana hamu sana ya kuongoza taifa hili kama marais, japo nina uhakika rais atatoka uinzani kwa sababu kura yangu sitowapa CCM.
1. Alianzisha bara bara tatu - kwa kiongozi ni muhimu kujaribu different alternatives failure & success ni vitu vingine
2. Shule za kata - ''
3. Discipline kazini - ilikuwa juu kwa wakuu wa mikoa na wilaya
4. Aliikataa Richmond Kikwete akaing'ang'ania
5. ......
Ebu nisaidieni aliyoyafanya Sumaye?
Maaana hawa watu wawili wana hamu sana ya kuongoza taifa hili kama marais, japo nina uhakika rais atatoka uinzani kwa sababu kura yangu sitowapa CCM.