Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
nataka muelewe kuwa watanzania wengi esp viongozi pesa wanazo lakini wanaogopa kuwekeza kwa sababu ya vidole...na hizi ni pesa zetu ...tusipowaruhusu watazitawanya ...angalia hili ujue kuwa tanzania watu wana pesa ...mwaka juzi kulikuja mfuko wa UMOJA TRUST huu mfuko wa uwekezaji uliweza kuingiza shilingi BILLION 100 ndani ya miezi miwili ,,,just kutoka kwa wananchi,,,NICO walipatA BILIONI22 ..TCCIA WALIKUSANYA BILIONI 9....TWIGA CEMENT bilioni 75...ZOTE HIZI ZIMETOKA KWA WANANCHI WENYE kiu ya kuwekeza ,,,but you know what ..kiuchumi ina maana watanzania wengi hasa hawa mabosi wanazo pesa nyigi hawajui wafanyie nini...sio ufahari kuwa na milioni 600 kwenye akauti ya akiba wakati ,kuna mtu mjasiriamali akipata milioni anajikwamua na anakuwa miliomia baada ya mwaka...mimi binafsi nilishuhudia mzee mmoja aliyekuwa na nafasi zamani akinunua hisa za umoja za milioni 300 peke yake...hii pia ina maana watanzania wangehamasishwa na hawa viongozi kama si kuogopa wana uwezo wa kununua makampuni mengi tu yaliyouzwa na tusingehitaji wazungu ,,,we could just hire there management to run our industries wich could be whole owned by wazawa....so tuache unafiki ...kama kuna kiongozi ana pesa ameficha azitoe tu aingize kwenye uchumi...na PALE anapozitoa tusianze kelele...nchi yoyote inayotoka kwenye uchumi wa kijamaa inaweza kuopata wazawa kumiliki uchumi kutoka kwa WAZAWA MAFISADI.. sasa mkiaza kuwauliza walipata wapi itabidi mkubali kuwa na wawekezaji wa NJE..hapa nitawapa mfano wa russia namana ilivyopata mamilionia wazawa kwa kuwauzia wazawa waliokuwa na nafasi au channel makampuni yao hasa ya mafuta ili tu wasimilikiwe na wageni...
nyerere alisema ni "BORA KABURU MWEUSI"
nyerere alisema ni "BORA KABURU MWEUSI"