Tumaini hospital ina uhusiano wowote na chuo cha tumaini moro ? if so, kile chuo cha tumaini ni cha kikristo kwa ufahamu wangu !
Ubaya siyo kuwepo kwa hosptiali ya Tumaini. Ubaya ni kuwa waganga wa muhimbili wanawanyima huduma wagonjwa na kuwanalazimisha waende Tumaini Hospital hata kama hakuna haja ya kufanya hivyo.
Tumaini ni chuo KIkuu na sio chuo cha kikristo. Tafadhali chunga sana unachoandika au unataka ministry zisitoe huduma hapa tanzania? Nilikuwa nakueshimu sana!
ebu fuata hiyo link hapo : http://www.tumaini.ac.tz/Tumaini ni chuo KIkuu na sio chuo cha kikristo. Tafadhali chunga sana unachoandika au unataka ministry zisitoe huduma hapa tanzania? Nilikuwa nakueshimu sana!
Who cares, viongozi watibiwa nje. Licha ya kuwa bei za nje ni hata mara kumi za hizo lakini ni sisi wenyewe tumewapa 'uheshimiwa'. Mwalalamika nini, kila mtu kivyake vyake, hiyo ndio TZ.