Utegemezi. . .

NK, i lov the lil boy! Aki-admire kitu ukamuambia just take it anasema hapana, u have it. I can't just take it coz u also deserve good things. What a character! Kuna watu wabinafsi wanajiskia kama hustahiki kitu ulichonacho japo u earned it!
Lizzy,nikujibu kuhusu ulemavu na elimu! Banaa,mi nikiona albino ama mkaka ana mkono mmoja anauza anything nisichokitaka kwenye foleni, huwa nampa buku! Hata sihitaji kupeleka mazagazaga kwangu, na namuambia wazi kua nampa soda kwa kujituma! Wale wamama walemavu wanaosota na foleni kutwa wakiomba, ingekuaje wangekua wanatembeza urembo ama vitabu vya watoto? Wouldn't u buy hata for friends ili kuwaungisha! Kama umejikuta stranded mjini ama ulaya, ungeweza kufagia McDonald's na kupata mshiko,kwanini uangalie white collar jobs wakati huna collar! Utegemezi ni tabia,the only reason mtu ambae sio tegemezi ataomba ni chakula na matibabu tuu! Hata kuomba vocha ni utegemezi!
Cute little thing. . . katoto mpaka kanajali hisia/mahitaji na matakwa ya watu wengine?I'm impressed.Kungekua na watu wengi waliojengeka hivyo matatizo mengi sana yanayosababishwa na ubinafsi yangepungua kama sio kuisha.

Kuhusu kuwasupport watu wanaojituma niko na wewe wifi. Mtu akiwa anajishughulisha anakurahishia/lainisha moyo wako na wewe umsaidie. Mi hata wale vijana vijana wanaobeagabebeaga watu mizigo yao pale soko kuu hua nawamaind sana. Hata kama nlichonunua naweza kubeba sioni uchungu kumpa mmoja wao ili nikimaliza nimrushie mia tano nae apate breakfast siku inayofuatia.

Kuhus vocha. . . . hehehe hilo ni janga la kitaifa asiee. Wengine hata nchi za watu bado wanaomba vocha.
 
Heheheheh Bishanga asante kwakuongelea hili.
Nna ndugu yangu mwenye tabia hiyo. . . . ndugu wengine bado wapo kwenye mtego wake na wengine wamefanikiwa kujinasua. Kwahiyo inawezekana mtu kujitoa kwenye utegemezi wa kulazimishwa ikiwa YEYE MWENYEWE ATATAKA KUTOKA. . . kila mtu yupo kwenye nafasi ya kua vile apendavyo . . . ni kiasi tu cha kuwa jasiri na kujituma.
Tatizo a lot of blackmail,intimidation,threats inakuwa involved.Its really tormenting kwa victims wa abuse ya aina hii,wengine mpaka wanakuwa watu wazima na watoto wakubwa wakiwa bado kwenye utumwa/utegemezi huu.Tatizo hawa ma control freaks huwa hawako conscious na jinsi wanavyoharibu maisha ya wenzao,wao wanajionea sawa tu,mifano ya namna hii hii ni mingi tu yaani hasa kinababa/mama matajiri.Hata bongo twawajua ila si vizuri kuwataja jf.
 
Tatizo a lot of blackmail,intimidation,threats inakuwa involved.Its really tormenting kwa victims wa abuse ya aina hii,wengine mpaka wanakuwa watu wazima na watoto wakubwa wakiwa bado kwenye utumwa/utegemezi huu.Tatizo hawa ma control freaks huwa hawako conscious na jinsi wanavyoharibu maisha ya wenzao,wao wanajionea sawa tu,mifano ya namna hii hii ni mingi tu yaani hasa kinababa/mama matajiri.Hata bongo twawajua ila si vizuri kuwataja jf.


Bishanga bana. . . mimi siwezi kukubali kwamba hawa watu ni victim ila wanajivictimise.Nasema hivyo kwasababu nimeona walioweza kuondokana na hiyo hali pamoja na kwamba hawajasoma sana. Ni kiasi cha mtu kuamua kwamba hataki. . . .
 
Bishanga bana. . . mimi siwezi kukubali kwamba hawa watu ni victim ila wanajivictimise.Nasema hivyo kwasababu nimeona walioweza kuondokana na hiyo hali pamoja na kwamba hawajasoma sana. Ni kiasi cha mtu kuamua kwamba hataki. . . .
in which case you will have to be prepared to pay the cost,na victims wengine ujue huwa wana commit suicide,hujawahi sikia watoto kibao wa matajiri wanajiua? Mbona hata bongo yanatokea,again nasema out of respect kwa jf rules siwezi kutoa mifano hai.
 
in which case you will have to be prepared to pay the cost,na victims wengine ujue huwa wana commit suicide,hujawahi sikia watoto kibao wa matajiri wanajiua? Mbona hata bongo yanatokea,again nasema out of respect kwa jf rules siwezi kutoa mifano hai.
Mifano sio lazima maana tunajua ipo.
Yes maisha ya aina hiyo yanaweza kumpelekea mtu kuwa depressed na kumfanya aone maisha ya hayana maana. Mpaka mtu afikie hali hiyo inamaana amelea hilo swala mpaka limemzidi nguvu. . . siwezi kuwalaumu maana kujitoa huko kunahitaji ujasiri ambao sio kila mtu anao ila inawezekana.Badala ya mtu kuendelea kulea ugonjwa ni vizuri akatafuta msaada/namna ya kujinasua.
 
Mifano sio lazima maana tunajua ipo.
Yes maisha ya aina hiyo yanaweza kumpelekea mtu kuwa depressed na kumfanya aone maisha ya hayana maana. Mpaka mtu afikie hali hiyo inamaana amelea hilo swala mpaka limemzidi nguvu. . . siwezi kuwalaumu maana kujitoa huko kunahitaji ujasiri ambao sio kila mtu anao ila inawezekana.Badala ya mtu kuendelea kulea ugonjwa ni vizuri akatafuta msaada/namna ya kujinasua.
tatizo ma control freaks wengi ni ma genius na ndo maana wana mafanikio waliyonayo,pia ni wajanja wa kusoma situations hivyo mtu akianza tu kuonyesha dalili za kujikomboa wana clamp on haraka sana.we acha tu usiombe kuwa na mtu wa aina hii katika familia yako.
 
"TONIGHT...........where shall I be THIS TIME TOMORROW??" heheheh my dear, when I think of the next day, lazima alarm igonge kwa kichwa!!! LOL
 
tatizo ma control freaks wengi ni ma genius na ndo maana wana mafanikio waliyonayo,pia ni wajanja wa kusoma situations hivyo mtu akianza tu kuonyesha dalili za kujikomboa wana clamp on haraka sana.we acha tu usiombe kuwa na mtu wa aina hii katika familia yako.
Those are just excuses and nothing else.

Hamna mtu anaeweza kuendesha maisha yako ikiwa wewe hutompa hiyo nafasi.
 
"TONIGHT...........where shall I be THIS TIME TOMORROW??" heheheh my dear, when I think of the next day, lazima alarm igonge kwa kichwa!!! LOL

We kakondoo. . . .mama mchungaji is seing nyota nyota.
 
Utegemezi ni mbaya sana. Unakufanya ukate tamaa mapema(hasa pale unapoishi kwa kutegemea mno mawazo ya watu, au matokeo ya vitu wavifanyavyo), unakufanya ukose uthubutu wa jambo flani. Utegemezi unakufanya uishi under conditions and wishes of someone coz kuna kipindi utalazimika kufanya yale ayatakayo au ayakubaliyo yule unaemtegemea na sometimes hata watu wake wa karibu, so kuacha yale unayoyahitaji wewe hence waweza jikuta unafanya vitu not out of ur own free will!! In short utegemezi sio mzuri!
 
hahaha ........! Where are those nyota nyota coming from while kakondoo kameelezea mashaka yake yanapogonga kengele??? LOL

Hehehhe sasa naona mbalamwezi. . .
Yani right on point.Thanks kakondoo.
 
Sie kwetu, baba na mama yetu hawapendi ujinga, tumefundishwa kujitegemea, kwetu hata nguo ikitatuka unashona mwenyewe, nyumbani kuna cherehani, na wote tunajishughulisha kwenye biashara za familia, kuanzia kwenye maduka ya mzee mpaka kwenye mighahawa yake. tulikuwa tukitoka shule, tunafanya home work kisha kila mmoja anakwenda alikopangiwa kufanya kazi kwa siku hiyo
 
Hehehhe sasa naona mbalamwezi. . .
Yani right on point.Thanks kakondoo.

we acha tu mama mchungaji, yaani kila dakika inapoanza kakondoo huwa kanafikiria dakika ijayo katakuwa wapi?? Ngoja kaufikishe angalau step 1 tu huu mzigo unaokapunguzia energy kakondoo ili kaongeze kasi zaidi!! LOL
 
we acha tu mama mchungaji, yaani kila dakika inapoanza kakondoo huwa kanafikiria dakika ijayo katakuwa wapi?? Ngoja kaufikishe angalau step 1 tu huu mzigo unaokapunguzia energy kakondoo ili kaongeze kasi zaidi!! LOL
Kakondoo huo mzigo hausaidiki nikubebee kidogo?

Zinduna wazee wako wana akili sana. . . .hayo mafunzo mliyopata ni zawadi ambayo sio kila mtu anapata.
 
Nimeipenda sana hii,japokuwa hili somo ni pana sana kwa hayo inatosha,Utegemezi kwenye jamii yetu umekua mbaya na umeenda mpaka serikalini.Leo hatuwezi kuamua mpaka Washngton au London watuamulie mwishowe watatuamulia namna ya kulala na wake zetu!Ushenzi gani huu!Asante kwa kutoa angalau huduma ya kwanza kwenye hili janga!
 
Huu mwenzangu umeniganda mie hata siwezi kuuhamishia kwa mwingine, labda unigee tu trick za ubebaji maana nipo choke ile mbaya!!
Haya niambie mzigo wenyewe uko koje nikupe maujanja.
 
Nimeipenda sana hii,japokuwa hili somo ni pana sana kwa hayo inatosha,Utegemezi kwenye jamii yetu umekua mbaya na umeenda mpaka serikalini.Leo hatuwezi kuamua mpaka Washngton au London watuamulie mwishowe watatuamulia namna ya kulala na wake zetu!Ushenzi gani huu!Asante kwa kutoa angalau huduma ya kwanza kwenye hili janga!
Hahahaha. . . . Eiyer asante kwa kunifurahisha. . . sikua nimefikiria huko kote ila naona wewe umefikiria mbali zaidi.
 
My Daughter Lizzy, nakushukuru sana kwa somo hili, naamini wengi watakuwa wamejifunza na kujua athari za utegemezi, hususan wazazi, maana kama inavyofahamika kwamba wazazi ndio wanye wajibu mkubwa katika kuwalea watoto katika maadili na hekima, na pia kuwafundisha stadi za maisha na yale yote vyanayohusiana na kujitegemea, iwe ni kimali, kiakili, kihisia, nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom