John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Mwinyi aliachiwa nchi na Nyerere, huyu mwinyi alikaa madarakani kwa miaka 10, nataka kujua kuwa aliifanyia nini Tanzania, alifanya nini kuwasaidia watu wa pwani,visiwani na watu wa kusini mwa Tanzania. Nataka mtu mwenye facts bila udini,udini si mahala pake.