mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
Serikali ya Kikwete imegawanyika, hilo halina ubishi. Inapofikia waziri anamshutumu naibu wake hapo hatuna serikali. Kikwete chukua maamuzi magumu fukuza mawaziri wote wenye kashfa. Wizara ya Nishati na Madini kuna matatizo makubwa hawa mawaziri hawana lolote jipya ondoa. Hawa wanakuharibia kazi huna haja ya kuwabeba yatosha.
Wanakudanganya, fahamu kwamba tanzania bila mgao wa umeme inawezekana. Miradi mingi katika wizara hii iko inflated sana kuliko gharama halisi.
Wanakudanganya, fahamu kwamba tanzania bila mgao wa umeme inawezekana. Miradi mingi katika wizara hii iko inflated sana kuliko gharama halisi.