Hata mkeo hakupi bure,meona eeeeeeeeeh!!!!,haya maisha haya
View attachment 62039 na mambo kama yanahusika kwenye MAPENZI
Simu tu unamuanzishia thread, kwani ukinunua hutowasiliana nae?
Pamoja na yote hayo ukiambiwa chagua jinsia
utachagua jinsia ipi?
Wana jamvi nilikuwa sehemu na rafiki zangu tukisindikiza siku, ikaja hoja ya kila mtu analalamika kuhusu mizinga kutoka kwa mabinti/dadaz/wasichana/wanawake. Tumejadilia aina za mizinga nawe ongeza kwenye list kila atakae kula tunda ajiandae Wallet kufunguka huwezi kukwepa hii mishale hapo chini labda ubake make kiukweli hatuwezi kuwa mbali na hili tunda.
Makubwa!, sikushauli umpe hata hiyo simu kwakuwa huo sio mtaji wa kuchumia pesa. Pia raha ni kwa wote kwanini yeye adai malipo au ofa baada ya kazi, Lakini wajinga ndo waliwao chunguza kwa makin kabla ya kufanya jambo,kama mlipatana kwa mkataba huo sio mbaya, lakin unapo mtafuta mtu usimpe story za uongo ongeeni ukweli kabisa.
mkuu ni kawaida wewe umepigwa mzinga wa simu kuna mwingine anatoa hela ya saloon mwimgine mavazi mwingine hela ya msosi ndivyo walivyo mademu siku hizi