Thesammanger
Member
- Jul 22, 2012
- 7
- 0
kula na kulipa,
Natamani sana kuchunwa na mzigo wa kulipia.
Alitaka muwe na mawasiliano ya karibu kuongea kila mnapojisikia au kutumiana text message n.k. ukishamnunulia usisahau na vocha...ndio mapenzi yalivyo bana....Bure ghali!!!
Lol. . kwa kweli sometime i so like that am a woman! we ar real makin it happen!
Mwanaume anafanya kazi ili apate pesa za nn?
Anakula ili apate nguvu za nn?. . utazungukaaaa at the end of the day ili wapate nyapu mchezo? uishi nyumba nzuri ukiwa unapata. . starehe zote end of the day mchezo loool. .
Nyie ndo wale wanaume, unakwenda kwa nyumbani kwa mwanamke, maji ya kunywa bure, juice bure, chakula bure, unachafu shuka na choo bure, nyapu bure tena kwa jinsi utakavyo, lol! hata aibu hamna! jibaraguze basi siku moja moja upite hata supermarket ubebe hata maziwa ya kutengenezewa chai.
Sipendi, sipendi, sipendi wanaume DUSHELELE TU!
Usipofanya hivyo ukimuhitaji utawasiliana kwa kutumia nn Mkuu? Ni wazi si simu tu, bali mengine yanayohusiana na matumizi ya simu yatafuata pia.alipomaliza kufanya tu namimi sex kesho yake akaniomba kumnunulia simu, ni mapenzi haya au karaha
Nyie ndo wale wanaume, unakwenda kwa nyumbani kwa mwanamke, maji ya kunywa bure, juice bure, chakula bure, unachafu shuka na choo bure, nyapu bure tena kwa jinsi utakavyo, lol! hata aibu hamna! jibaraguze basi siku moja moja upite hata supermarket ubebe hata maziwa ya kutengenezewa chai.
Sipendi, sipendi, sipendi wanaume DUSHELELE TU!
alipomaliza kufanya tu namimi sex kesho yake akaniomba kumnunulia simu, ni mapenzi haya au karaha