DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,585
- 17,692
Mkuu Ni kweli kanisa na hapo hasa ndo kuna tatizo..Mkuu kuna kitu kinaitwa MYTH na kipo kinaitwa FAITH
Watu wanashindwa kutofautisha na kukontras
Lakini hata hivyo on other hand
Every Faith started as Myth..
Thats why the study of Theology lazma iambatane na The study of mythology..
Hata Habari ya ukweli kwanza huanza na Uvumi..
Before People believe in it and construct Faith..
And Finally Trust..