Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,761
Na yule wa Mbezi Beach aliyetabiri Siyoi kumshinda Nassari Arumeru tumuite nani?
yule ni nabibi
Na yule wa Mbezi Beach aliyetabiri Siyoi kumshinda Nassari Arumeru tumuite nani?
Mbona hata pweza Paul alikuwa bingwa wa kutabiri na hakuwahi kukosea ! Sasa TB Joshua ni sawa na pweza tuu, ila itakuwa kazi kupata supu ya Joshua !
Mkuu cha muhimu ni kutafuta ukweli ili kuujua ukweli.
Iakuwaje sasa Nigeria inaweza kuwatibu mpaka marais lakini marai wa kwao wanapelekwa nje kutibiwa?
NABII WA UWONGO hata biblia inasema kama mtu akitoa unabii na usitimie basi ni nabii wa uwongo.Na yule wa Mbezi Beach aliyetabiri Siyoi kumshinda Nassari Arumeru tumuite nani?
Naona unajitahidi kumshika uongo TB Joshua.Nakushauri kama unataka kuujua ukweli basi fanya rishechi ya kiroho kama yeye anavyotabiri kiroho.
Mapendo!!
HAHAHAHAAAAAAAAA AISEE SITAKI KUTETEA UTABIRI WA TB JOSHUA KWENYE HILI LAKINI NI UONGO KWAMBA JAMAA ALIENDA NIGERIA KUFANYA CHECK UP.
SOMA MITANDAO KIBAO YA MALAWI INADISCUSS KIFO CHA HUYU JAMAA.
NA HATA MTANDAO NAMBA MOJA WA NIGERIA nairaland.com PIA WAMEMWAGA DATA ZOTE NA HAKUNA ALIYESEMA BINGU ASHAWAI KWENDA FANYA CHECK UP NIGERIA.
INGEKUWA SOUTH AFRICA KWELI. MAANA NDIPO ALIPOKUWA ANAENDA KUFANYA CHECK UP NA ANA MADAKTARI WAKE KULE.
KWA KIFUPI HUYO JAMAA YAKO KAAMUA KUKUTUNGIA UONGO ILI KUMPUNGUZIA JOSHUA COMPLIMENTS ANAZOPATA.
BINAFSI NISHAWAHI KUSOMA UTABIRI WA JAMAA KUHUSINA NA AJALI YA NDEGE NA AKATAJA SIKU YA JUMATANO KABISA. NA KWELI JUMATANO NACHECK NEWS KWENYE HOMEPAGE YA YAHOO NAONA PLANE CRASH NA WATU 48 WAMEKUFA.
KIFUPI TABIRI ZA JAMAA ZINAUKWELI JAPO SINA UHAKIKA KAMA NI MUNGU KWELI AU KUNA LA ZIADA.
LAKINI TABIRI ZAKE ZINA UKWELI, SIO KAMA ZILIVYOKUWA ZA SHKH YAHYA.
HUwezi kujua ukweli kwa mambo yanayomhusu Mungu kama wewe huongozwi na ROHO WA MUNGU. Kimsingi ni kwamba tangu mwezi Feb mwanzoni (wala sio 28Feb unayosema wewe) TB Joshua alikwisha tabiri kuhusu kifo chenyewe japo hakujua ni nani hadi ilipofika March first week. Tarehe 19 Machi TB Joshua alikwisha fahamu kupitia ROHO WA MUNGU kuhusu mhusika. Na siku hiyo aliwaambia kanisa kuna kifo/tukio litatokea siku ya Alhamisi. Sasa kama ni madaktari hadi wanajua siku ya kifo basi waje wajitokeze. Acha Mungu aitwe Mungu.....wala hakuna cha utata hapo.Kama Una-doubt unabii hilo lako but hakuna utata wowote. Ndo maana kwa wale wanaokwenda kwa kuona (macho) walidhani ni Robert Mgabe simply because Mugabe has been sick for sometime now. Ila mawazo ya Mungu si mawazo yetu na NJIA ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI!
nakiri kabisa Tanmo ni mwongo'japo sijihusishi na kufatilia sana haya mambo ya unabii'Rais hawezi kwenda nigeria kucheki afya'ina maana nigeria sio advance kwenye mambo hayo'haiwezekani bana achane kutunga uongo'labda ungesema alienda south africa na madaktari walio mcheki ni wanigeria
nakiri kabisa Tanmo ni mwongo'japo sijihusishi na kufatilia sana haya mambo ya unabii'Rais hawezi kwenda nigeria kucheki afya'ina maana nigeria sio advance kwenye mambo hayo'haiwezekani bana achane kutunga uongo'labda ungesema alienda south africa na madaktari walio mcheki ni wanigeria
Kama hivyo ndivyo basi ni kwa nini hawa wanajiita manabii?
Mbona utabiri wa TB Joshua ulitoka kabla ya tarehe 28.2.2012? Kuna thread ilianzishwa kuhusiana na utabiri wa Joshua hapa JF tarehe 9.2.2012 hii ina maana ni siku 19 kabla ya madai yako ya Mutharika kwenda Nigeria kwenye huo uchunguzi. Jina la thread hiyo ni RAISI MMOJA WA AFRIKA ATAKUFA HIVI KARIBUNI-TB JOSHUA. Itafute ipo kwenye international forum.
So acheni jitihada za kumdiscredit Joshua kwa sababu tu humuamini binafsi
HAHAHAHAAAAAAAAA AISEE SITAKI KUTETEA UTABIRI WA TB JOSHUA KWENYE HILI LAKINI NI UONGO KWAMBA JAMAA ALIENDA NIGERIA KUFANYA CHECK UP.
SOMA MITANDAO KIBAO YA MALAWI INADISCUSS KIFO CHA HUYU JAMAA.
NA HATA MTANDAO NAMBA MOJA WA NIGERIA nairaland.com PIA WAMEMWAGA DATA ZOTE NA HAKUNA ALIYESEMA BINGU ASHAWAI KWENDA FANYA CHECK UP NIGERIA.
INGEKUWA SOUTH AFRICA KWELI. MAANA NDIPO ALIPOKUWA ANAENDA KUFANYA CHECK UP NA ANA MADAKTARI WAKE KULE.
KWA KIFUPI HUYO JAMAA YAKO KAAMUA KUKUTUNGIA UONGO ILI KUMPUNGUZIA JOSHUA COMPLIMENTS ANAZOPATA.
BINAFSI NISHAWAHI KUSOMA UTABIRI WA JAMAA KUHUSINA NA AJALI YA NDEGE NA AKATAJA SIKU YA JUMATANO KABISA. NA KWELI JUMATANO NACHECK NEWS KWENYE HOMEPAGE YA YAHOO NAONA PLANE CRASH NA WATU 48 WAMEKUFA.
KIFUPI TABIRI ZA JAMAA ZINAUKWELI JAPO SINA UHAKIKA KAMA NI MUNGU KWELI AU KUNA LA ZIADA.
LAKINI TABIRI ZAKE ZINA UKWELI, SIO KAMA ZILIVYOKUWA ZA SHKH YAHYA.