The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,913
- 54,098
Wewe bikra yako uliipoeza kwa chipsi yai au kwa mabodaboda? naona umeanza kuwaonea wivu wenye bikra zao,mmeanza kutoka shimoni. Maagizo ya Mnyaaaazi Mungu yasipuuuzwe utakuja kukosa mabikra 72 oohooooo
Toka mwanzo nilikuona kua huu mjadala umeingiza udini,ukajaribu kujificha ficha ila wanafiki hua hamjifichi,
Nakukumbusha pia na wewe maagizo ya Papa yasipuuzwe,sasa hivi mnaruhusiwa kwenda kubarikiwa kwa Papa,hamtengwi tena.