Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,757
- 3,398
Hii mtu unafariki leo unazikwa chapu ndani ya siku au siku mbili.
Ni utaratibu mzuri aisee.
□ Unaokoa sana gharama.
□ Familia iliyofiwa ina sevu pesa za kuwasaidia baada ya kuondokewa na mpendwa wao.
□ Unawapa muda wafiwa kusahau machungu ya msiba na kuanza kufocus kwenye maisha mengine.
Maisha yamebadilika sana.
Ni utaratibu mzuri aisee.
□ Unaokoa sana gharama.
□ Familia iliyofiwa ina sevu pesa za kuwasaidia baada ya kuondokewa na mpendwa wao.
□ Unawapa muda wafiwa kusahau machungu ya msiba na kuanza kufocus kwenye maisha mengine.
Maisha yamebadilika sana.