Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Waungwana
Utaratibu unaotumika kupitisha vifungu wakati bunge linakaa kama kamati
haufai,speaker kuamua kwa kusikiliza sauti za ndiyo au hapana na pia wabunge kuulizwa mmojammoja inakuwa sio fair kwani sio huru kwa wabunge,wengine walazimika kusema ndivyo sivyo kwa kuepuka kupingana na misimamo ya vyama vyao
Wadau wa sekta ya judiciary mmeona mnavyoburuziwa muswada.
Nasema hatuna Spika na AG ni mhuni fulani tu yaani ameshindwa kutetea hoja zinazostahiki kwa wanataaluma wenzie
Waziri wa katiba na sheria ndo kituko kingine...shame on them
Mahudhurio pia ni poor sana,sasa kura za absentees zinapotea bure!
Nawakilisha
Utaratibu unaotumika kupitisha vifungu wakati bunge linakaa kama kamati
haufai,speaker kuamua kwa kusikiliza sauti za ndiyo au hapana na pia wabunge kuulizwa mmojammoja inakuwa sio fair kwani sio huru kwa wabunge,wengine walazimika kusema ndivyo sivyo kwa kuepuka kupingana na misimamo ya vyama vyao
Wadau wa sekta ya judiciary mmeona mnavyoburuziwa muswada.
Nasema hatuna Spika na AG ni mhuni fulani tu yaani ameshindwa kutetea hoja zinazostahiki kwa wanataaluma wenzie
Waziri wa katiba na sheria ndo kituko kingine...shame on them
Mahudhurio pia ni poor sana,sasa kura za absentees zinapotea bure!
Nawakilisha