Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Haijanitokea lakini kwa kuwa imemtokea myu aliyenipa ushuhuda wote nimeona si haba kuwajuza wanajamvi la kama ilishajuzwa si vibaya kukumbushana mintaarafu kuna wanachama wapya kila uchao
Ni Jumatau hii tu!! (17/1/2012) Rafiki yangu mmoja alitoka Morogoro kuja kuhudhuria mkutano hapa DSM ambapo na mimi nilikuwepo, wakati anavuka barabara maeneo ya PPF Tower kijana mmoja akamjongea na kumpa shikamoo, jamaa hakuitikia, kijana akasisitiza, jamaa hakuitikia, in the process ghafla akasikia harufu mbaya sana..........kijana akasalimu mara ya tatu rafiki yangu akaamua kuondoa kinu juani na kuitikia..........dogo akamuuliza jamaa eneo hili nasikia kuna harufu chafu.....jamaa yangu ghafla akajisikia kama anaishiwa nguvu.....yule dogo akaendelea na hamsini zake (kwa mnyato kama vile anasikilizia kitu fulani) jamaa yangu akajitahidi kuvuka barabara lakini akajikuta anapepesuka ndiposa akaamua atulie kwa muda....aliangalia ng'ambo na kumuona kijana akigeuka..kwa kuwa alishamshtukia kijana akatokomea kwenye magari......thanlk God jamaa aka-regain na kujiuliza sana.................
J eumeshakutana na utapeli huu????
Tujuze mwanawane na mbinu ulizotumia.................
Ni Jumatau hii tu!! (17/1/2012) Rafiki yangu mmoja alitoka Morogoro kuja kuhudhuria mkutano hapa DSM ambapo na mimi nilikuwepo, wakati anavuka barabara maeneo ya PPF Tower kijana mmoja akamjongea na kumpa shikamoo, jamaa hakuitikia, kijana akasisitiza, jamaa hakuitikia, in the process ghafla akasikia harufu mbaya sana..........kijana akasalimu mara ya tatu rafiki yangu akaamua kuondoa kinu juani na kuitikia..........dogo akamuuliza jamaa eneo hili nasikia kuna harufu chafu.....jamaa yangu ghafla akajisikia kama anaishiwa nguvu.....yule dogo akaendelea na hamsini zake (kwa mnyato kama vile anasikilizia kitu fulani) jamaa yangu akajitahidi kuvuka barabara lakini akajikuta anapepesuka ndiposa akaamua atulie kwa muda....aliangalia ng'ambo na kumuona kijana akigeuka..kwa kuwa alishamshtukia kijana akatokomea kwenye magari......thanlk God jamaa aka-regain na kujiuliza sana.................
J eumeshakutana na utapeli huu????
Tujuze mwanawane na mbinu ulizotumia.................