kmdh
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 503
- 120
Habarini wakuu
Huyu dada hata kama ametembea nje ya ndoa, kupigwa kama mnyama ni haki kweli. Hii imekuwa ni tabia ya baadhi ya wanaume wengi kuwapiga wanawake wao kama wanapiga ngoma.
Tazama video hiyo namna mwanaume anavyompiga mwanamke kama anaua nyoka.Mi ninavyoona utamaduni wa mwanume kupiga mwanamke umepitwa na wakati.
Nawasilisha kwa majadilianao
Huyu dada hata kama ametembea nje ya ndoa, kupigwa kama mnyama ni haki kweli. Hii imekuwa ni tabia ya baadhi ya wanaume wengi kuwapiga wanawake wao kama wanapiga ngoma.
Tazama video hiyo namna mwanaume anavyompiga mwanamke kama anaua nyoka.Mi ninavyoona utamaduni wa mwanume kupiga mwanamke umepitwa na wakati.
Nawasilisha kwa majadilianao
Last edited by a moderator: