Mila za wahaya zinakubali mtu azikwe kwa baba yake kama ni me...kama ni ke na kaolewa basi azikwe kwa mpenzi mumewe..Mila za kiislam zinatutaka mtu akifa azikwe pale alipofia na azikwe haraka asisafirishwe kwa kua ardhi ni ile ile tu, hii inasaidia kuepuka gharama zisizo na ulazima afu vilevile kuepuka kumsubua maiti mara huku mara kule na adha nyingine kama maiti ikianza kuharibika
halafu nahisi wanawake wa kihaya ni Tatizo.nimejionea wengi wanaachana na waume zao na kubaki na watoto.
mkuu sio unaisi awo watu ni tatizo,wanajiona kama walizali tanzania kwa baati mbaya ovyo sana hawa watu.
Ukoo wa mama Kanumba unataka kupoka huu msiba
mkuu sio unaisi awo watu ni tatizo,wanajiona kama walizali tanzania kwa baati mbaya ovyo sana hawa watu.
Aisee mimi nilikuwa najiuliza inakuwaje hawa wasanii wanaongelea mipango ya harusi kwa kumshirikisha mama wakati yeye amesema baba yake yupo na hawana ugomvi? Pacho mwamba alipoulizwa na ile TV ya mchangani tv mawingu kuhusu haki za Kanumba akasema mama yake ndio atachukua. Sidhani kama baba ya Kanumba ametendewa haki, hii ni kwa kuwa wanawake wakiachwa huwa wanawajaza uongo watoto kuwa baba ndiye mbaya kuficha upuuzi walioufanya ukasababisha ndoa kuvunjika. Mtoto asipochanganya na zake anaishia kumchukia au kumdharau baba yake
Nakushauri muda unaotumia kutuponda wahaya jaribu kuutumia kujifunza jinsi ya kuandika kiswahili.
We mama mbona una frustrations sana leo? Mbona mama alipigiwa simu fasta? Kwa mtu mwenye akili baada ya msiba kutokea baba ndio anakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kwa kuwa ndio Decision maker. Huenda amewaachia wahaya wajifagilie kwanza yeye atatinga siku ya kumpumzisha. Hata namna ya kifo inareflect kuwa jamaa hakupitia malezi mazuri.Msiba una mwaliko???
Baba yake kaja???
Kama hajaja, changanya zako pia
nini kinamsuta kiasi hicho??
Tatizo lenu nshomile mnafikiri bado tuko zama zile za Tanzania ya wanyonge. Tumeishawa neutralize saizi hata Heineken hamnywi tunakunywa sisi watanzania halisi. Nyie mlizoea hela za ufisadi na kujipendekeza, kama yule mhaya mwenzenu jaji aliyelipwa na ccm kumvua Lema ubunge. Hata hapo kwa Kanumba mnajifanya mnamjua saiz kwa kuwa anazo angekuwa mchovu hata mchango msingetoa
Wengine wanasema wanawake wa kimachame\kichaga wana matatito! What is what nw?
wewe unayesema wanawake wakihaya tatizo wengne hawana tatizo jaman sio wote,kama mimi mbona sina hayo matabia?wewe unaesema niwahovyo je wanawake wakabila lako wakoje?