..Tena mi naona yuko salama sana hata huyo dogo sidhani kama akili yake ik kwa huyo dada nadhani yeye anawaza mvua iendelee ili awabebe zaidi jioni hesabu ndefu kabisa....angembeba kwa mbele je? si ingekuwa kesi kubwa kabisa??Mbona hakuna kitu cha ajabu? Labda huyo dogo abadili mawazo akiwa katikati ya hilo ziwa. Vinginevyo kila mtu anawaza kivyake vyake!
Bora huyu kijana.Dakitari wa magonjwa ya akina mama jee? Anapokuwa akimwangalia Faragha kwa ajili ya kumtibu Mkeo.
Hapo hakuna feelings ni kama roboti tuu.Amembeba ni biashara tuuu ,tupunguze wivu.:hug:
Duh - maisha bora kwa kila kiumbe
1. Dogo anapiga mzigo apate chochote anashukuru mvua kumbwa iliyonyesha na kujaza bonde (sisi tunaita njia)
2. Dada anaamua kukubali yote anakabidhi maisha yake kwa bwa mdogo - in case ajali ikitokea na kifo kumkumba - yote kwa mwenyezi na si kwa CCM aliyewaweka madarakani.
3. Kiogozi wa mtaa anaendelea na shughuli za kuandikisha wapiga kura wake na kampeni za chini chini hana haja na kuaddress tatizo hili ktk ngazi zinazohusika.
4. Sitanshangaa dada huyu huyu ndiyo ndiye mstari wa mbele kuipigia kura CCM katika uchaguzi mkuu bila kujali yote yaliyompata kwa muda wa miaka mitano
<br /><img src="http://sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-snc3/hs160.snc3/18733_239309923302_573923302_3399362_4798245_n.jpg" border="0" alt="" />
Duh Nimeipenda hiyo!!! Big up.Duh - maisha bora kwa kila kiumbe
1. Dogo anapiga mzigo apate chochote anashukuru mvua kumbwa iliyonyesha na kujaza bonde (sisi tunaita njia)
2. Dada anaamua kukubali yote anakabidhi maisha yake kwa bwa mdogo - in case ajali ikitokea na kifo kumkumba - yote kwa mwenyezi na si kwa CCM aliyewaweka madarakani.
3. Kiogozi wa mtaa anaendelea na shughuli za kuandikisha wapiga kura wake na kampeni za chini chini hana haja na kuaddress tatizo hili ktk ngazi zinazohusika.
4. Sitanshangaa dada huyu huyu ndiyo ndiye mstari wa mbele kuipigia kura CCM katika uchaguzi mkuu bila kujali yote yaliyompata kwa muda wa miaka mitano
<br />Habebwi mtu namna hiyo...napigana...
hii tena kali , si tuliambiwa alivuka lengo la ajira alilokuwa ameahidi awamu ya kwanza kumbe ndo ajira zenyewe hizi ...lolHizi ndizo ajira kwakila Mtanzania JK alliwaahidi vijana wakati aliomba mumchague!
inapobidi itabidi ukubali