Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
una wivu wewe eeh?
Grow old along with me,
the best is yet to be.I LOVE YOU GODWINE!!!mwanao au ubavu?<!-- google_ad_section_end -->
mwanangu tena???ubavu bana.....
nilikuwa nakumendea siku nyingi kumbe una ubavu au naweza kuwa 'spare' ubavu
Duh - maisha bora kwa kila kiumbe
1. Dogo anapiga mzigo apate chochote anashukuru mvua kumbwa iliyonyesha na kujaza bonde (sisi tunaita njia)
2. Dada anaamua kukubali yote anakabidhi maisha yake kwa bwa mdogo - in case ajali ikitokea na kifo kumkumba - yote kwa mwenyezi
3. Kiogozi wa mtaa anaendelea na shughuli za kuandikisha wapiga kura wake na kampeni za chini chini hana haja na kuaddress tatizo hili ktk ngazi zinazohusika.
4. Sitanshangaa dada huyu huyu ndiyo ndiye mstari wa mbele kuipigia kura CCM katika uchaguzi mkuu bila kujali yote yaliyompata kwa muda wa miaka mitano
Mh.Mfunyukuzi hapo ni wapi????
Huyu dada huko anakokaa ndie miss wao,maana ni yeye tu kavaa kiatu!angejua angekuwa na ile mi bag ya dada zetu ndani akaweka kandambili.
je huko Ndago au kiteto si ndo kifo kabisa.
inapobidi itabidi ukubali