punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Haaahaaaa, mkuu Matola, kama issue ni babaake ku sacrifice hatawashinda wazazi wangu ambao wali-sacrifice hadi nikawa na maujanja ya kuwa na hivyo vilaki na kumuingiza huyo binti kingi! Suala la yale mambo yetu wote tunaenjoy banaa, why mimi nigharimike zaidi??? Haaahaaaa laki awaombe wazazi wake, kwa nini inakuwa ngumu hivyo kuwaomba wao???Mkuu hebu rekebisha kauli yako, hivi unaweza kumpa binti kitu ambacho Baba yake hawezi kumtimizia? mpaka wewe unamuona na ukampenda unajuwa Baba yake ame sacrifice vingapi mpaka wewe umemtamani bintiye?
Mimi nikipata msg kama hiyo fasta natuma M-Pesa laki mbili na Air time ya shilling elfu kumi ili awe na access ya kupiga simu na siyo kutuma msg, na kama ni msg basi ziwe ni Romantic msg tu.
Kumbe humu kuna mijitu mibahili kwelikweli!!.....kama mnaona kumgharamia mchuchu wako ni ghali nenda kanunuwe mademu wa viwanja. Ni nani aliyewaambia kuna mbunye za mazoezi?