Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
ha! ha! ha! nchi hii kwa roho mbaya ! ndio mana mungu hawabariki kuwapa viongozi bora mtakua masikini mpaka mwisho wa siku!
Mimi naona utajiri wa Mengi ni halali kabisa na ni baraka amepewa na Mwenyezi Mungu kwa jinsi anavyosaidia wengine kama vile wagonjwa wa aina mbalimbali,vikundi vya vijana,akina mama ,wlemavu na wengineo wengi tu.Hawa waarabu siyo rahisi kufanya hivyo ,na kama wakifanya wanafanya kwa manufaa binafsi.Sijawahisikia Bahresa au Rostam ameandaa sherehe akala na watu wenye ulemavu ,au amesafirisha mgonjwa wa moyo kwenda India labda mniambie wadau.
Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four
Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Sijakuelewa kabisa.
Kwa hiyo we unasoma elimu ya biashara ili UELIMIKE tu na sio ili uitumie kufanya biashara? Hiki kweli ni kichekesho mkuu. Yaani unasugua benchi za shule miaka ili tu uwe umesoma na sio ili upate elimu na kuitumia.
Kwa hiyo na madaktari nao wanasoma udaktari ili waelimike lkn sio ili wawe wafanya biashara?
Unasema kufaidika na elimu (hapo kwenye red). Sasa unafaidika nini kama huitumiii? Una Bachelor ya Business Administration lkn huitumii kusimamia biashara zako umekaa kusubiri NBC wakuajiri, huko ndio kkufaidika mkuu? Mawazo mgando, tena janga kwa taifa mkuu
Maendeleo yote kwa ujumla kitafiti na weledi: Sina hakika kama unajua ulichoandika au uliandika tu ili na wewe uwe umetoa maoni. Maendeleo gani yanakuja kwa kuwa watu wamesoma? Mkuu, kusoma peke yake haitoshi. Ili tuendelee tunahitaji wasomi watumie taaluma zao kwa nguvu ndio ufanisi upatikane.
Tanzania ina biashara nyingi ambazo zinafanywa kwa kubangaiza na watu wasio na elimu ya biashara. Biashara za namna hii zinakosa tija kwa wenye nazo kukosa elimu ya biashara. Kama wewe unaamini unasoma biashara ili tu UENDELEZE FANI, basi sioni sababu ya kusoma, au sijakuelewa sehemu may be.
By the way, mwanzisha mada ameuliza swali la msingi japo siungi mkono jealous zake. Ukiona umekesha madarasani na hutumii output yake kuishi basi hujaelimika bado. Jenga picha unajifunza kupiga piano miaka 6 halafu unafuzu na kutulia nyumbani badala ya kujiunga na kwaya au bendi
Tatizo co kusoma ila ni mtaji! Umemaliza xul let say university wazaz ulikuwa unawasaidia kwa boom lako, what wil b nxt f nt whte collar jobs! There is an Indian sayng politicians lead, busines pple rule and employd pple r servants! T z a system nt only in tz bt worldwide. Dnt pray 4 succes bt opportunity to succeed! Wish u all da best!
Uhakiki pia unahitajika na huku sio kwa Walala haoi tu pekee...Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four
Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Sasa kama watu wanatambua wewe ni jangili hutaki waongee?? ndio unakimbilia au weusi wabaguzi... Ndio trick ya kukwepa ukweli kusingizia unaonewa muhahaha kama ipo ipo tuubaguzi wa mtu mweusi ni hatari ya ubaguzi wote
Bila shaka ulipokua unaandka uzi huu ulikua maskani umekaa kwa kukosa cha kufanya.....ckulaum sana coz umechangamsha akil kidogo na accusation zako za kijiweni.
Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four
Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four
Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Mazoea ila Ni Pembe za Ndovu... ni Sawa ilivyozoeleka Dawa ya Mswaki mubadala ya Dawa ya MenoMeno ya Tembo???