Utajiri wa Waarabu wa Tanzania

ha! ha! ha! nchi hii kwa roho mbaya ! ndio mana mungu hawabariki kuwapa viongozi bora mtakua masikini mpaka mwisho wa siku!
 
we mtoa mada hebu weka hapo bwana Mengi kapata pesa zake vipi? usichagua baadhi ya watu akaacha wengine kuwa muwazi
 
Bakharesa hana pesa huo ni mradi wa serikali kupitia huyo jamaa hebu fungukeni wa Tz mbona Dar live ya ridhi one na lake oil
 
Mimi naona utajiri wa Mengi ni halali kabisa na ni baraka amepewa na Mwenyezi Mungu kwa jinsi anavyosaidia wengine kama vile wagonjwa wa aina mbalimbali,vikundi vya vijana,akina mama ,wlemavu na wengineo wengi tu.Hawa waarabu siyo rahisi kufanya hivyo ,na kama wakifanya wanafanya kwa manufaa binafsi.Sijawahisikia Bahresa au Rostam ameandaa sherehe akala na watu wenye ulemavu ,au amesafirisha mgonjwa wa moyo kwenda India labda mniambie wadau.
 
Mimi naona utajiri wa Mengi ni halali kabisa na ni baraka amepewa na Mwenyezi Mungu kwa jinsi anavyosaidia wengine kama vile wagonjwa wa aina mbalimbali,vikundi vya vijana,akina mama ,wlemavu na wengineo wengi tu.Hawa waarabu siyo rahisi kufanya hivyo ,na kama wakifanya wanafanya kwa manufaa binafsi.Sijawahisikia Bahresa au Rostam ameandaa sherehe akala na watu wenye ulemavu ,au amesafirisha mgonjwa wa moyo kwenda India labda mniambie wadau.

Dogo kama hujui nyamaza!nyambav....
 
Haina ubishi waarabu walikuja tanzania kwa shughuli kubwa za uwindaji na ndio maana wengi wao waliishi maporini na ni waanzilishi wa vijiji vingi sana hapa tz,na kama sikosei kipindi hicho walifanya biashara hiyo kwa uhalali kabisa,na mara ilivyopigwa marufuku walibadili biashara na kufungua mashine za kusaga, maduka vijijini, kumiliki mashamba na magari ya kusafirisha abiria kutoka vijijini kwenda mjini,huo ndio ukawa mwanzo wa mafanikio yao wengi wa matajiri wa kiarabu unaowaona sasa hivi.
Na wengi wa viongozi wenye asii ya kiarabu ukifatilia kwa umakini utaona wamechaguliwa kutokana na misaada yao kwa jamii zinazowazunguka na kulazimishwa na wananchi wenyewe kugombea.
NAONA MUONO WAKO SI SAHIHI FANYA UTAFITI TENA NA ONDOA CHUKI KWANZA KWANI HAZIKUSAIDII KABISA KATIKA KUPOTOSHA UKWELI.
 

Bakhresa-
1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four

Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!

Kama walifanya hivyo na unajua kwa nini usitoe taarifa? Acha chuki kwa wenzetu wanaojitahidi kutoa huduma na wanalipa kodi ambayo inaleta maendeleo. Hata fungu la kumi wanatoa kubwa.
 



Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!


Umewaza Kwa Sauti Kama mimi vile.. Ila mwenzako nimeshashtukia mishahara ya graduate kuwa Na take home 260,000 Hapana ... No !! Nimeshakimbia aisee
 
Sijakuelewa kabisa.

Kwa hiyo we unasoma elimu ya biashara ili UELIMIKE tu na sio ili uitumie kufanya biashara? Hiki kweli ni kichekesho mkuu. Yaani unasugua benchi za shule miaka ili tu uwe umesoma na sio ili upate elimu na kuitumia.

Kwa hiyo na madaktari nao wanasoma udaktari ili waelimike lkn sio ili wawe wafanya biashara?

Unasema kufaidika na elimu (hapo kwenye red). Sasa unafaidika nini kama huitumiii? Una Bachelor ya Business Administration lkn huitumii kusimamia biashara zako umekaa kusubiri NBC wakuajiri, huko ndio kkufaidika mkuu? Mawazo mgando, tena janga kwa taifa mkuu

Maendeleo yote kwa ujumla kitafiti na weledi: Sina hakika kama unajua ulichoandika au uliandika tu ili na wewe uwe umetoa maoni. Maendeleo gani yanakuja kwa kuwa watu wamesoma? Mkuu, kusoma peke yake haitoshi. Ili tuendelee tunahitaji wasomi watumie taaluma zao kwa nguvu ndio ufanisi upatikane.

Tanzania ina biashara nyingi ambazo zinafanywa kwa kubangaiza na watu wasio na elimu ya biashara. Biashara za namna hii zinakosa tija kwa wenye nazo kukosa elimu ya biashara. Kama wewe unaamini unasoma biashara ili tu UENDELEZE FANI, basi sioni sababu ya kusoma, au sijakuelewa sehemu may be.

By the way, mwanzisha mada ameuliza swali la msingi japo siungi mkono jealous zake. Ukiona umekesha madarasani na hutumii output yake kuishi basi hujaelimika bado. Jenga picha unajifunza kupiga piano miaka 6 halafu unafuzu na kutulia nyumbani badala ya kujiunga na kwaya au bendi

Tatizo co kusoma ila ni mtaji! Umemaliza xul let say university wazaz ulikuwa unawasaidia kwa boom lako, what wil b nxt f nt whte collar jobs! There is an Indian sayng politicians lead, busines pple rule and employd pple r servants! T z a system nt only in tz bt worldwide. Dnt pray 4 succes bt opportunity to succeed! Wish u all da best!
 
Tatizo co kusoma ila ni mtaji! Umemaliza xul let say university wazaz ulikuwa unawasaidia kwa boom lako, what wil b nxt f nt whte collar jobs! There is an Indian sayng politicians lead, busines pple rule and employd pple r servants! T z a system nt only in tz bt worldwide. Dnt pray 4 succes bt opportunity to succeed! Wish u all da best!

Mjasiriamali hakwazwi na mtaji,anaweza kutumia chochote kinachomzunguka,kuna jamaa mmoja aliweka thread hapa kuhusu mitaji,jaribu kupitia mkuu,nadhani ni Awadi kama sikosei.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four

Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Uhakiki pia unahitajika na huku sio kwa Walala haoi tu pekee...
 
ubaguzi wa mtu mweusi ni hatari ya ubaguzi wote
Sasa kama watu wanatambua wewe ni jangili hutaki waongee?? ndio unakimbilia au weusi wabaguzi... Ndio trick ya kukwepa ukweli kusingizia unaonewa muhahaha kama ipo ipo tu
 

Bakhresa-
1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four

Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
Bila shaka ulipokua unaandka uzi huu ulikua maskani umekaa kwa kukosa cha kufanya.....ckulaum sana coz umechangamsha akil kidogo na accusation zako za kijiweni.
 

Bakhresa-
1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/ Real Estate
Kazi ya tatu: Weka Viwanda vya maji/juice/ngano/unga wa sembe etc with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.
Now is the First Tanzanian billionea.
Education: standard Four

Abood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Hood: 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine
Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Nunua mabas na kuanza transport company
Kazi ya tatu: Ubunge with support of corrupt money
from big shot in the Government. Viongozi wengi wa ngazi za juu wamewekeza pesa zao
hapo wanazoiba serikalini.

Kwa nini wasomi wengi wa Tanzania hawafanyi biashara!!!
 
Back
Top Bottom