Utafiti: Watu ulimwenguni kote wanapoteza furaha kadri miaka inavyokwenda

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,709
36,166
Hello!

Hili kila mtu anaweza kulithibitisha kwa kuback up miaka michache nyuma.

Furaha niliyokuwa nayo mwaka 1999 ni kubwa kuliko ya miaka ya 2009, furaha niliyokuwa nayo 2019 si kubwa kama ile niliyokuwa nayo 2009.

Licha ya maisha yangu kuboreka kila mwaka.

Nakiri kuwa maisha ya kulala kwenye mikeka na vitanda vya kamba miaka 20 nyuma yalijaa furaha kuliko sasa ambapo nawaza kupata chochote ninachokihitaji.

Ni mfumo wa uchumi ndio huleta kadhia kwa wanadamu.

Tajiri anahangahika, maskini anahangahika, fukara anahangahika pia.

No rest.
 
Huyu ni mimi kabisa,nimepoteza interest ya vitu ambavyo awali nilivipenda.Imefika mahali hata TV sioni channel ya kuangalia.Siyo mtumiaji wa kilevi wala siyo shabiki wa mpira.Mbaya zaidi nimepoteza usingizi,hata nikichelewa kulala ikifika saa 10 usingizi tayari umeisha.Nawaza hali hii itaendelea hadi naingia kaburini! May Lord have mercy on me.
 
LEO TUMEWABAMBA KMMKEEEE😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.


Kwenye nyuzi zinazohusu matajiri na utajiri huwa mnatupanga eti matajiri wenye hela za ndagu NDIO HAWANA FURAHA.

Sasa nyie wenzangu na mie kinachowakosesha furaha ni nini??

Point yangu ni kwamba "Kutokuwa na furaha ni janga la watu wote bila kujali hali zao za kimaisha"

Kukosa wateja wakati unamuona jirani yako anapangisha foleni ya wateja, HIYO STRESS USIOMBEE😂
 
Hello!

Hili kila mtu anaweza kulithibitisha kwa kuback up miaka michache nyuma.

Furaha niliyokuwa nayo mwaka 1999 ni kubwa kuliko ya miaka ya 2009, furaha niliyokuwa nayo 2019 si kubwa kama ile niliyokuwa nayo 2009.

Licha ya maisha yangu kuboreka kila mwaka.

Nakiri kuwa maisha ya kulala kwenye mikeka na vitanda vya kamba miaka 20 nyuma yalijaa furaha kuliko sasa ambapo nawaza kupata chochote ninachokihitaji.

Ni mfumo wa uchumi ndio huleta kadhia kwa wanadamu.

Tajiri anahangahika, maskini anahangahika, fukara anahangahika pia.

No rest.
vichocheo katika kila idara ya mwili wa binadamu hupungua kadiri muda unavyozidi kusonga 🐒
 
kwa sasa hata kumtembelea ndugu yako hapa mjini ni lazima umwambie utakaa muda gani,maisha yamekuwa na hukumu kali kali kiasi hakuna anayeuona umuhimu wa mwingine.

zamani mnauliziwa lini mnakuja kwangu jamani,mkienda siku ya kuondoka shanga,mama mdogo au mjomba anakuwa kama hataki hivi muondoke,ila kwa sasa labda kijijini huko.mtu ana hela weekend anabeba makinda yake wanakwenda kuzurula na alphard yake.
ujamaa kati ya mtu na mtu ndugu na ndugu umekatika.

viongozi wa serikali wamekuwa na viburi,wababe na pia ni walafi,wanajilimbikizia mali,hawaguswi na shida za wananchi badala yake wanawalingishia bata wanazokula wao na familia zao kutokana na nafasi walizopo.
 
Huyu ni mimi kabisa,nimepoteza interest ya vitu ambavyo awali nilivipenda.Imefika mahali hata TV sioni channel ya kuangalia.Siyo mtumiaji wa kilevi wala siyo shabiki wa mpira.Mbaya zaidi nimepoteza usingizi,hata nikichelewa kulala ikifika saa 10 usingizi tayari umeisha.Nawaza hali hii itaendelea hadi naingia kaburini! May Lord have mercy on me.
May the Lord give us his grace
 
Yani furaha haipo vile tulivyokua tunatamn kula hatuvipendi tena
 
Hello!

Hili kila mtu anaweza kulithibitisha kwa kuback up miaka michache nyuma.

Furaha niliyokuwa nayo mwaka 1999 ni kubwa kuliko ya miaka ya 2009, furaha niliyokuwa nayo 2019 si kubwa kama ile niliyokuwa nayo 2009.

Licha ya maisha yangu kuboreka kila mwaka.

Nakiri kuwa maisha ya kulala kwenye mikeka na vitanda vya kamba miaka 20 nyuma yalijaa furaha kuliko sasa ambapo nawaza kupata chochote ninachokihitaji.

Ni mfumo wa uchumi ndio huleta kadhia kwa wanadamu.

Tajiri anahangahika, maskini anahangahika, fukara anahangahika pia.

No rest.
Ulikua mtoto unahudumiwa kila kitu sasa unasaka tonge mwenyewe furaha lazima itoweke..chapa kazi kwa bidii na ustadi ujenge Taifa lako. Furaha shangwe na mayowe waachie watoto wako ndio mda wao
 
Back
Top Bottom