Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
UTAFITI TOKA CHUO CHA OXFORD*
Utafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford umebaini kuwa kwa siku Mwanamke anazungumza Maneno 7000. Na kwa siku Mwanaume anazungumza maneno 2000. kwa siku.Kwa mantiki hiyo wewe baba ukichelewa kurudi nyumbani ukamkuta Mwanamke anafoka kuhusu kuchelewa kwako wala usimjibu,Ingia ndani ulale,Tambua yupo kwenye lengo la kufikisha kiwango chake cha kuongea kwa siku.