sylver5
Member
- Jul 22, 2013
- 20
- 19
Habari wanajamii na wapambanaji wenzangu,
Nimebahatika kupata banda la chuma kubwa (7x7) muundo wake ni ule wa kuwa na dirisha kubwa kwa mbele ambalo linafungukia juu hivyo nafasi ya kivuli ipo, pia kipande kinafunguka kwa chini na kutoa nafasi ya kuegamia; pia ndani kuna partition ndogo inayotosheleza kufanya biashara ya Mobile money.
Mnanishauri naweza fanya biashara gani ndani ya jiji letu hili la Dar es Salaam
NB: Pia nina freezer moja ya size ya kati
Nimebahatika kupata banda la chuma kubwa (7x7) muundo wake ni ule wa kuwa na dirisha kubwa kwa mbele ambalo linafungukia juu hivyo nafasi ya kivuli ipo, pia kipande kinafunguka kwa chini na kutoa nafasi ya kuegamia; pia ndani kuna partition ndogo inayotosheleza kufanya biashara ya Mobile money.
Mnanishauri naweza fanya biashara gani ndani ya jiji letu hili la Dar es Salaam
NB: Pia nina freezer moja ya size ya kati