Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Ikiwa demu alokunywea bia zako bar anapotea katika mazingira ya kutatanisha... akiwa amekomba simu zako zote(ambazo zina washirika wako kikazi na data muhimu) na wakati huohuo watarajia simu kutoka kwa mai waifu wako..?
Na wateja wote wanamjua huyo dem na wanakuchora jinsi ulivokuwa waingizwa mjini?!!!
Na wateja wote wanamjua huyo dem na wanakuchora jinsi ulivokuwa waingizwa mjini?!!!