mrs kigeugeu.
Member
- Dec 16, 2011
- 13
- 2
Wana JF, naombeni msaada hapa , nilikua na uguliwa na mume wangu ambaye alikua in a very critical condition, nikaomba likizo ya siku 28 kazini nikapewa, siku zilivoisha nikaenda kazini, kufika nikakuta kunatangazo la post yangu,yani anatafutwa mtu wa kufanya kazi za pozishen ambayo mimi ndio huwa nafanya. And no one is saying anything to me, pretending kwamba there is nothing going on and tangazo limetolewa just days before likizo yangu haijaisha. wapendwa kama ni wewe what would you do. help please.:confused2: