EDWARD JOHN
Member
- Mar 9, 2012
- 82
- 183
Kabugi sana kwenye Kodi ya miamala ya benk ,wakati bank charge zipo ,yaani unafanya double taxation alafu anajiona ni Daktari wa uchumi
Huu nao ni ujinga uliokujaa kichwani..Hata kama Mama anampenda au bado ana imani na Mwigulu, ni vigumu sana kuendelea kumbakiza katika nafasi yake kutokana na reaction ya umma kwani anaonekana kuwa ni waziri anaengoza kwa kulaumiwa na kutuhumia na hivyo anakosa sifa ya kisiasa ya kuendelea kuwa waziri.
Kwa maneno mengine, yeye kuendelea kuwa waziri,. sasa kunamgharimu kisiasa Bosi wake jambo ambalo sidhani kama Mama ataendelea kulivumilia. Hivyo, ni swala la muda tu kabla hajaondolewa na mtihani pekee kwa Mama anamuondoaje au anamuondoa katika mazingira gani.
Katika siasa, hata kama hujatenda kosa lolote, ila ikatokea umma unakuunyoshea kidole au kutajwatajwa mara nyingi kwa mambo yasiyopendeza, basi uwajibikaji wa kisiasa huwa haukwepiki ama kwa kuwajibika mwenyewe kwa kujiuzulu nafasi yako, au kusubiri kuonddolewa na Mamlaka yako ya kinidhamu.
Japo hapa Bongo na Afrika kwa ujumla utamaduni huu haijazoeleka sana, ila tartatibu tunaanza kuzoea na mifano teyari iko mingi na hapa kwetu yameshatokea hivyo Mwigulu is the next whether ana hatia au laa.
Bashite is a good example japo ilichukukuwa muda.
Time will tell.
Hata kama Mama anampenda au bado ana imani na Mwigulu, ni vigumu sana kuendelea kumbakiza katika nafasi yake kutokana na reaction ya umma kwani anaonekana kuwa ni waziri anaengoza kwa kulaumiwa na kutuhumia na hivyo anakosa sifa ya kisiasa ya kuendelea kuwa waziri.
Kwa maneno mengine, yeye kuendelea kuwa waziri,. sasa kunamgharimu kisiasa Bosi wake jambo ambalo sidhani kama Mama ataendelea kulivumilia. Hivyo, ni swala la muda tu kabla hajaondolewa na mtihani pekee kwa Mama anamuondoaje au anamuondoa katika mazingira gani.
Katika siasa, hata kama hujatenda kosa lolote, ila ikatokea umma unakuunyoshea kidole au kutajwatajwa mara nyingi kwa mambo yasiyopendeza, basi uwajibikaji wa kisiasa huwa haukwepiki ama kwa kuwajibika mwenyewe kwa kujiuzulu nafasi yako, au kusubiri kuonddolewa na Mamlaka yako ya kinidhamu.
Japo hapa Bongo na Afrika kwa ujumla utamaduni huu haijazoeleka sana, ila tartatibu tunaanza kuzoea na mifano teyari iko mingi na hapa kwetu yameshatokea hivyo Mwigulu is the next whether ana hatia au laa.
Bashite is a good example japo ilichukukuwa muda.
Time will tell.
Alishiriki kuleta maafa ya watu kule Soweto Arusha. Sitasahau! Ilifikia kipindi anaitwa Savimbi, very arrogant hadi leoNdio maana tunaangamia kama nchi kwa kuwa na wstu wenye fikra kama hizi.
Tangu awe Waziri amewahi kufanya lipi la maana?
Hivi ninani anatuhumiwa kuvalisha mbwa scurf ya CHADEMA enzi za JK?
Mtu kama huyu ndio msomi wa kuamini akipewa nafasi ata-deliver?
😳😳🙄🙄Pia kuna mdau aliuliza kwanini DNA color service ya Mafuta ya petroli haiingii serikalini
Binafsi ninalo tatizo kubwa sana na huyu Mwigulu, huwezi kunikata Hela yangu kwa kuihifadhi Bank, baada ya kunikata wakati naipokea kutoka kwenye chanzo whether ni AJIRA, UWEKEZAJI au BIASHARAUna tatizo na mwigulu
Huyu mama yako anafurahia huenda nae tozo zina mnufaisha ila kma kweli mama yako angekuwa hapendezwi na haya hakika nakuambia siku mingi sana kala chumakiongozi mzuri ni yule anaejali maslahi ya watu wa hali ya chini, anamchonganisha mama na wananchi, muangalie sana huyu mtu