Tetesi: Utabiri 1977: Waalimu wa UPE wanaenda kutengeneza Taifa la wajinga na sasa miaka 50 imepita. Je sisi tuna akili au sisi ni wajinga?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Je hili ndio Taifa la wajinga lililotabiriwa mwaka 1977 wakati walipoanzisha sera ya Elimu ya Universal Primary Education UPE?

Katika sera ya nchi ya kutoa elimu kwa wote. Serikali ilipanga kutoa elimu kwa watanzania wote bila ubaguzi wowote. Serikali ilikuja na mpango elimu ya msingi iwe ni lazima kwa kila mtanzania.

Katika Bunge la wakati ule viligubikwa na wasomi wachache sana.
Wapinzani wa sera kipindi kile walionekana mwiba sana kwa Serikali.
Wasomi wengi walishauri kuajiri waalimu kutoka nchi ya Kenya na nchi kama uingereza na mataifa mengine Walikuwa tayari kutoa waalimu. Ili kufanikisha mpango huu.

Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.
Wasomi chuo kikuu cha Dar es salaam waligomea huu mpango kabisa. Sababu ilikuwa Tanzania inatengeneza Taifa la watu wajinga sana.

Sasa hivi wale walioanza kufundishwa na walimu wa UPE wanamiaka 50 mpaka 55. Je Taifa letu ni la watu wenye akili ama wajinga kama ilivyotabiriwa?
 
Umetoa mada nzuri sana mkuu, tatizo itakua diluted na vihiyo ambao ndio wengi humu, yes UPE ulikua mpango maalum ili wajinga na wapumbavu wawe wengi, royal families watoto wao hakusoma chini ya sera hii ya UPE, miaka michache iliyopita kukaletwa shule za sekondari za kata, hizi nazo zimetuletea wapumbavu zaidi, aliyeanzisha hili hata kitukuu chake hakijasoma huko, President Mugabe pamoja na ushenzi wake ulioua uchumi wa Zimbabwe, education systems aliyoirithi hakuigusa ndio maana hadi leo wazimbabwe ni hot cake kielimu, President Kagame kafuata waalimu Zimbabwe katuluka sisi, UK hadi leo wazimbabwe (nurse's)wanapewa working visa kirahisi, hapa tuna Doctors wapo mitaani!wanakimbiza viajira uchwara
 
Report ya Waziri super kutokea nchini mwetu (Jackson Makweta, RIP)Kuhusu Elimu inaendelea kuoza pale makao makuu ya wizara, vaa midabwada, kula kisavu, pls peleka mtoto wako akapate elimu bora, Ile ya miaka ile kufight uwe ndani ya wanafunzi 24 nchi nzima kwenda Mazengo (PGM )imepotezwa kwa makusudi
 
Je hili ndio Taifa la wajinga lililotabiriwa mwaka 1977 wakati walipoanzisha sera ya Elimu ya Universal Primary Education UPE?

Katika sera ya nchi ya kutoa elimu kwa wote. Serikali ilipanga kutoa elimu kwa watanzania wote bila ubaguzi wowote. Serikali ilikuja na mpango elimu ya msingi iwe ni razima kwa kila mtanzania.

Katika Bunge la wakati ule viligubikwa na wasomi wachache sana.
Wapinzani wa sera kipindi kile walionekana mwiba sana kwa Serikali.
Wasomi wengi walishauri kuajiri waalimu kutoka nchi ya Kenya na nchi kama uingereza na mataifa mengine Walikuwa tayari kutoa waalimu. Ili kufanikisha mpango huu.

Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.
Wasomi chuo kikuu cha Dar es salaam aligomea huu mpango kabisa. Sababu ilikuwa Tanzania inatengeneza Taifa la watu wajinga sana.

Sasa hivi wale walionza kufundishwa na walimu wa UPE wanamiaka 50 mpaka 55. Je Taifa letu ni la watu wenye akili ama wajinga kama ilivyotabiriwa?
Samahani mleta mada, naomba unipe uhusiano wa wewe kufaulu na uhusiano wa kumfaulisha mwingine kwa kiwango kilekile. Namaanisha hivi:


Wewe umepata daraja la kwanza, kwa maana hiyo ukiwa mwalimu utakuja kuwafaulisha wanafunzi wako kwa kiwango kama chako!!!!!!!!!!

Namaanisha hivi tena:

Walimu wanaoajiriwa wawe wamepata ufaulu mzuri wa daraja la kwanza (mtazamo wenu) hivyo wanafunzi wao wote (shule za kata) watafaulu kama wao.

UDSM, SUA, MZUMBE na UDOM kwa Tanzania hivi ni vyuo vikubwa, kuna shahada mbalimbali za elimu zinatolewa huko. Katika vigezo vyao vya udahili unadhani walimu kutoka hivi vyuo wanaufaulu mdogo??? (mtazamo wenu)


Jibu kwa kutumia picha pana na siyo mhemko, papara na hasira!!!!!!!!!!!!!!


Nb: Walimu ni sehemu ndogo sana ya tatizo, nashangaa wanavyotupiwa mzigo wa lawama pamoja na kujitahidi kwao katika mazingira magumu ya kazi!!!!!!!!!!!

Eti wamefeli!!!!!!!!!!!Halafu ukipata watoto unampelekea akufundishie!!!!!!!!!!!!!!!!!Iwe shule binafsi au ya umma bado utawakuta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ahsanteni sana walimu kwa mchango wenu!!!!!!!!!!!!
 
Samahani mleta mada, naomba unipe uhusiano wa wewe kufaulu na uhusiano wa kumfaulisha mwingine kwa kiwango kilekile. Namaanisha hivi:


Wewe umepata daraja la kwanza, kwa maana hiyo ukiwa mwalimu utakuja kuwafaulisha wanafunzi wako kwa kiwango kama chako!!!!!!!!!!

Namaanisha hivi tena:

Walimu wanaoajiriwa wawe wamepata ufaulu mzuri wa daraja la kwanza (mtazamo wenu) hivyo wanafunzi wao wote (shule za kata) watafaulu kama wao.

UDSM, SUA, MZUMBE na UDOM kwa Tanzania hivi ni vyuo vikubwa, kuna shahada mbalimbali za elimu zinatolewa huko. Katika vigezo vyao vya udahili unadhani walimu kutoka hivi vyuo wanaufaulu mdogo??? (mtazamo wenu)


Jibu kwa kutumia picha pana na siyo mhemko, papara na hasira!!!!!!!!!!!!!!


Nb: Walimu ni sehemu ndogo sana ya tatizo, nashangaa wanavyotupiwa mzigo wa lawama pamoja na kujitahidi kwao katika mazingira magumu ya kazi!!!!!!!!!!!

Eti wamefeli!!!!!!!!!!!Halafu ukipata watoto unampelekea akufundishie!!!!!!!!!!!!!!!!!Iwe shule binafsi au ya umma bado utawakuta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ahsanteni sana walimu kwa mchango wenu!!!!!!!!!!!!
Hivi mwalimu ambae hajui logarithm anaweza kumfundisha mwanafunzi ajue vizuri kabisa.
 
Je hili ndio Taifa la wajinga lililotabiriwa mwaka 1977 wakati walipoanzisha sera ya Elimu ya Universal Primary Education UPE?

Katika sera ya nchi ya kutoa elimu kwa wote. Serikali ilipanga kutoa elimu kwa watanzania wote bila ubaguzi wowote. Serikali ilikuja na mpango elimu ya msingi iwe ni razima kwa kila mtanzania.

Katika Bunge la wakati ule viligubikwa na wasomi wachache sana.
Wapinzani wa sera kipindi kile walionekana mwiba sana kwa Serikali.
Wasomi wengi walishauri kuajiri waalimu kutoka nchi ya Kenya na nchi kama uingereza na mataifa mengine Walikuwa tayari kutoa waalimu. Ili kufanikisha mpango huu.

Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.
Wasomi chuo kikuu cha Dar es salaam waligomea huu mpango kabisa. Sababu ilikuwa Tanzania inatengeneza Taifa la watu wajinga sana.

Sasa hivi wale walioanza kufundishwa na walimu wa UPE wanamiaka 50 mpaka 55. Je Taifa letu ni la watu wenye akili ama wajinga kama ilivyotabiriwa?
Hivi tatizo la wajinga wengi tanzania waliosoma na walioko maofisini ni tatizo la waalimu waliowafundisha au tatizo la mfumo wa elimu tuliourithi kutoka kwa wakoloni?
 
Back
Top Bottom