Je, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba 2014 na Rais wa sasa, ni watu wawili Tofauti?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,175
22,695
Itakumbukwa kuwa, kabla ya zoezi la kukusanya maoni ya Katiba chini ya Warioba, Katiba hii ya 1977 ilitolewa copy na kugawiwa Kwa wananchi tuisome na kuelimishana vijiweni masokoni na sehemu mbalimbali na zoezi hili lilifanikiwa vizuri!!

Kutuambia turudi Kuelimishwa tena na watu watu wale wale Kwa miaka 3,wakati tunayo Rasimu ya Warioba kabatini ya kuanzia mnatuonaje wananchi,

Je, Wawili Hawa ni UMOJA au ni wawili Tofauti Kila Mmoja Kwa nafasi yake?

1. Je, mchakato wa KATIBA mpya Awamu ya nne ulikuwa na dosari zipi Hadi turudie kuanza Kutoa ELIMU Kwa miaka mitatu mfululizo?

2. Je, utafiti upi ulifanyika kuonyesha Watanzania hatujui Katiba iliyopo?

3. Je, wote walioshiriki katika mchakato wa KATIBA Awamu ya nne wanawajibika vipi Kwa pesa za umma zilizotumika?

4. Je, ni sawa kiongozi mmoja kuwa na ndimi mbili bila kuwajibishwa Kwa kauli zake?

5. Je, ni athari zipi zitatokea ikiwa tutaingia uchaguzi ujao bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi?



Maswali ni mengi, karibuni🙏
 
Wawili Hawa ni UMOJA au ni wawili Tofauti Kila Mmoja Kwa nafasi yake?

1. Je, mchakato wa KATIBA mpya Awamu ya nne ulikuwa na dosari zipi Hadi turudie kuanza Kutoa ELIMU Kwa miaka mitatu mfululizo?

2. Je, utafiti upi ulifanyika kuonyesha Watanzania hatujui Katiba iliyopo?

3. Je, wote walioshiriki katika mchakato wa KATIBA Awamu ya nne wanawajibika vipi Kwa pesa za umma zilizotumika?

4. Je, ni sawa kiongozi mmoja kuwa na ndimi mbili bila kuwajibishwa Kwa kauli zake?

5. Je, ni athari zipi zitatokea ikiwa tutaingia uchaguzi ujao bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi?



Maswali ni mengi, karibuni🙏
Itakuwa hii ni clone yake sio yye!
Na hiili nalo mkalitazame!
 
Kama hajui umuhimu wa katiba mpya sijui alikuwa mwenyekiti wa bunge la katiba kufata posho?

Kama anayoyasema leo ni kweli basi asingeshiriki kabisa katika mchakato wa katiba mpya miaka kadhaa iliyopita!
Basi tumpeleke mahakamani kwakuwa tunawaza ana stahili kuhukumiwa Kwa Makosa ambayo sisi tunaona ni kinyume na natamanio yetu, maana Katiba haina maana tunaende na morals tu bila hizo morals kuwa guided😨😰
 
Wawili Hawa ni UMOJA au ni wawili Tofauti Kila Mmoja Kwa nafasi yake?

1. Je, mchakato wa KATIBA mpya Awamu ya nne ulikuwa na dosari zipi Hadi turudie kuanza Kutoa ELIMU Kwa miaka mitatu mfululizo?

2. Je, utafiti upi ulifanyika kuonyesha Watanzania hatujui Katiba iliyopo?

3. Je, wote walioshiriki katika mchakato wa KATIBA Awamu ya nne wanawajibika vipi Kwa pesa za umma zilizotumika?

4. Je, ni sawa kiongozi mmoja kuwa na ndimi mbili bila kuwajibishwa Kwa kauli zake?

5. Je, ni athari zipi zitatokea ikiwa tutaingia uchaguzi ujao bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi?



Maswali ni mengi, karibuni
Nikwamba CCM hawapo tayari kuruhusu katiba mpya wanajua hikija ndo utakuwa mwisho wao wakutawala
 
Kuna watu hawafanyi kazi zao vizuri za kumshauri Rais wetu, maana kama wangemshauri asingekuja na hizi statements ambazo nchi za Dunia zitatushangaa...U Rais no taasisi jamani tuache hizi siasa za kututweza utanzania wetu. Rais ni nembo ya taifa letu...My heart bleeds!
 
Hawa wezi wa mali za umma hawawezi kuruhusu upatikanaji wa katiba mpya. Wanajua katiba mpya ina vipengele vya kuwashitaki wezi na wauzaji wa mali za umma. Katiba mpya haitaruhusu kuuza mali zetu kama bandari. Katiba mpya hatutaletewa kwenye sahani, tuipiganie kabla hawajatuuza sisi na mali zetu.
 
Basi tumpeleke mahakamani kwakuwa tunawaza ana stahili kuhukumiwa Kwa Makosa ambayo sisi tunaona ni kinyume na natamanio yetu, maana Katiba haina maana tunaende na morals tu bila hizo morals kuwa guided😨😰
Swali lako linafikirisha,

Kumbe inawezekana kumshtaki aliyekuwa mwenyekiti wa Bunge la Katiba 2014 maana ni watu wawili tofauti au sio?
 
Itakumbukwa kuwa, kabla ya zoezi la kukusanya maoni ya Katiba chini ya Warioba, Katiba hii ya 1977 ilitolewa copy na kugawiwa Kwa wananchi tuisome na kuelimishana vijiweni masokoni na sehemu mbalimbali na zoezi hili lilifanikiwa vizuri!!

Kutuambia turudi Kuelimishwa tena na watu watu wale wale,wakati tunayo Rasimu ya Warioba kabatini ya kuanzia,

Je, Wawili Hawa ni UMOJA au ni wawili Tofauti Kila Mmoja Kwa nafasi yake?

1. Je, mchakato wa KATIBA mpya Awamu ya nne ulikuwa na dosari zipi Hadi turudie kuanza Kutoa ELIMU Kwa miaka mitatu mfululizo?

2. Je, utafiti upi ulifanyika kuonyesha Watanzania hatujui Katiba iliyopo?

3. Je, wote walioshiriki katika mchakato wa KATIBA Awamu ya nne wanawajibika vipi Kwa pesa za umma zilizotumika?

4. Je, ni sawa kiongozi mmoja kuwa na ndimi mbili bila kuwajibishwa Kwa kauli zake?

5. Je, ni athari zipi zitatokea ikiwa tutaingia uchaguzi ujao bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi?



Maswali ni mengi, karibuni🙏
"Mbona hajastaafishwa!?,mbona kitabu bado!!?,na FDR je!!?

Akaambiwa just a few days,kutokufuata MAELEKEZO ya wakubwa alipopewa kiti kuwa HADI 2024 uchaguzi mitaa usubiri HADI kitabu kikamilike yeye anapiga dana dana HADI sasa!!

Ngoja tuone desert mission original plan is on!!
 
"Mbona hajastaafishwa!?,mbona kitabu bado!!?,na FDR je!!?

Akaambiwa just a few days,kutokufuata MAELEKEZO ya wakubwa alipopewa kiti kuwa HADI 2024 uchaguzi mitaa usubiri HADI kitabu kikamilike yeye anapiga dana dana HADI sasa!!

Ngoja tuone desert mission original plan is on!!
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 una Kila dalili kuota mbawa!!

Swali ni je; Mwenyekiti wa Bunge la Katiba 2014 na Rais wa sasa, ni watu wawili tofauti?
 
Ewe mwanadamu, kamwe usimwamini mwanasiasa maana watu hao ndio waliowasulubu masihi au mitume wa Mungu kwa hofu ya kutwaliwa viti walivyokalia...
 
Hapa ndipo inadhihirika wazi kwamba wengi hatuufahamu mfumo wetu unavyofanya kazi. Alifanikisha malengo ndiyo maana akapongezwaa! Unataka uzabwe kibao ndiyo uzinduke?
 
Hapa ndipo inadhihirika wazi kwamba wengi hatuufahamu mfumo wetu unavyofanya kazi. Alifanikisha malengo ndiyo maana akapongezwaa! Unataka uzabwe kibao ndiyo uzinduke?
Vibao vya nn tena?

Nijibu basi, ni yule yule au ni MAPACHA wajulikanao kama identical twins?
 
Back
Top Bottom